Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

Nipo nje ya topic. Ivi uyu mtangazaji wa RFA alipoteleaga wapi wandugu????

FREDUWAA

Katika watangazaji hapa bongo this guy nilikua namkubali mnoo
 
Shamim mlacha
1494926255518.jpg
 
Mimi namkubali na kumpenda sana Flora Mwano wa TBC, km kuna mwny namba yake tafadhali naomba mnisaidie
 
Back
Top Bottom