kipwate
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 517
- 509
Ahaaa mkuuuu huyu dada ana tangaza radion bhnaAdela tillya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaa mkuuuu huyu dada ana tangaza radion bhnaAdela tillya
Ahaaa na mpenda akifunga viremba vyakee na sauti yakeeJaman baby kabbae mbona hamumtaji.. Mm namtaja baby kabae, sam, Harris kapiga, na George marato itv maraaaaaaaaaaaaaaaa
Unamzungumzia, Amri masare a.k.a(super sub).Mwanzo kbl hajaendaa kuwa mkuu wa wilaya ya muhezaaa jmn
....Godwin Gondwe....mimi pendaa sana yeye miaka 10000....
>Salim kikeke ....nampendaa Sanaaaa....... Wa tatu yule kaka anae somaga Sana habari za michezoo naniii jina linanitokaaa ......wa ITV
Huwa ana soma habari za biashara mara nyingi....msubiri halafu muombe, mi mwenyewe naitaka[emoji38] [emoji38] [emoji38]Lightning, nifanyie mpango wa namba
Huyo huyo km ulikuwepoUnamzungumzia, Amri masare a.k.a(super sub).
[emoji23] [emoji23]Huyo huyo km ulikuwepo
Mbn wanicheka[emoji23] [emoji23]
Nimefurahi hapo uliposema ''kama ulikuwepo``Mbn wanicheka
Mbn wanicheka
Hayaa bhanaa kiukweli namkubali mnoooo natamani ningemuona nimwambieNimefurahi hapo uliposema ''kama ulikuwepo``
Hata mi namkubali kinoma noma.Hayaa bhanaa kiukweli namkubali mnoooo natamani ningemuona nimwambie
Ngoja nikamuangalie mida yao imeanzaaHata mi namkubali kinoma noma.
OK, poa .Ngoja nikamuangalie mida yao imeanzaa
Hahaha....never mind boss, Haijalishi kama ameolewa wala nini...ukipenda mzigo unapindua serikali kama alivyofanya Iddi Amin kule Uganda. zama za ujana wangu nilipindua serikali nyingi zilizokuwa madarakani, useme tu hatukuwa na vyombo vya habari vya kutangaza mapinduzi hayo....Ivona kamuntu, angekuwa hajaolewa kingeeleweka tu