Wasafi = Kuanza kurusha matangazo nchi nzima soooooooon.Jonijo - E.fm
Wasafi kulikoni???
Hivi the switch ni bora kuliko block 89?Jonijoo alikitaka kipindi cha Switch. Bora kajiongeza. Kuliko kubaki WCB na kuwa second best.
Hiyo wasafi hii mikoa uliyoitaja hapa inasikika? Au unabwabwaja tuJonijoo amekuwa branded na Wasafi na si Radio yoyote wala Youtube.
Umma wa watanzania walio wengi wamemjulia wasafi, anajadiliwa kwa sababu alikuwa wasafi vinginevyo hakuna ambaye angemjadili.
Binafsi nimemjua Jonijoo muda sana na mdogo wangu ameshafanya interview nae (ni mwanamuziki) ila kumjua kwangu kitambo hakuleti maana watanzania wengi walikuwa wanamfahamu tayari.
Mtu wa Kigoma, Mwanza, Tabora, Shinyanga, Mara, Katavi, Kagera, Singida, Dodoma, Moro town, Iringa, na hata Morogoro angemjuaje John na hasikilizi Radio?
Kwamba mmoja ni threat kwa mwenzake ?Lil Ommy Na Jonijoo sijui kuna nini kati yao ilianzia Times FM , Jonijoo akasepa kumuacha Lil Ommy now tena Wasafi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jonijo hajui kuwa wasafi inaongeza masafa nchi nzima?Wasafi = Kuanza kurusha matangazo nchi nzima soooooooon.
EFM ina masafa ya Mwanza, Tanga, Dodoma, Kigoma, Tabora, Mbeya, Mtwara na Iringa vipi number of listeners inasemaje?
Punguza jazba alafu vumilia tu haya maswala ya watangazaji kuhama vituo yataendelea kuwepo usijipe vidonda vya tumbo maana tangu Jonijo kahama umegoma kunywa uji.We mdingi Ni wa ajabu Sana unachuki na mtu ambaye hata kuonana nae kwa ujawahi hiv nikuulize kipi kizuri kilichofanywa na diamond umawahi kutoa comment nzuri?
Hii nimeiona America kwenye kila kitu.Wasafi ilianza vizuri lakini inaharibiwa na usajili..tengeneza base nzuri kwa kuwatumia wakongwe...radio ina shikwa na vipindi vikuu vitatu...Taarifa ya habari...Michezo..then Vipindi vya burudani...wanachokosea wasafi kwanza sina uhakika kama wanae program manager mwenye anayefit nafasi hiyo..kama yupo basi anakosa ubunifu..ukishapata wakongwe watatu kwenye vipindi mhimili hivyo vitatu...then tafuta vipaji vipya ....lipo tatizo jingine lq media za bongo kuigana kwa kila kitu..huwa tunaigana timing ya muda wa vipindi ili kugombania wasikilizaji au watazamaji lakini watangazaji wengi wanaiga mpaka contents za redio au tv shindan mwisho wa siku vipindi vinapyaya vinakosa mvuto..unakuta mtangazaji anataka kuiga mpaka sauti ya mtangazaji wa redio shindani au tv ni ujinga..ubunifu ndo silaha kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
EFM haijui kuwa haina wasikilizaji wengi mikoani?Jonijo hajui kuwa wasafi inaongeza masafa nchi nzima?
Kalagabaho.Hiyo wasafi hii mikoa uliyoitaja hapa inasikika? Au unabwabwaja tu
Sasa kwanini Jonijo amewakimbia?EFM haijui kuwa haina wasikilizaji wengi mikoani?
Umewahi kujiuliza kwanini Di Maria na ukali wake wote alishindwa kubaki Manchester United ilihali hakuwepo mchezaji anayeanza kwenye nafasi yake mkali kumzidi?Sasa kwanini Jonijo amewakimbia?
Bango Limechacha jamaa itakua alianguka baada ya kupata hii taarifa..Punguza jazba alafu vumilia tu haya maswala ya watangazaji kuhama vipindi yataendelea kuwepo usijipe vidonda vya tumbo maana tangu Jonijo kahama umegoma kunywa uji.
Umemuacha Dozen hapo mkuu
Mtu Imara mpiga makelele naona unatetea ugaliKalagabaho.
Media kwa kipindi hiki zinaitaji mapresenter wazuri mfano mzr nazitaja radio mbili tu RFA na ebony ya iringa watangazaji wazr walivo ondoka na zenyewe zimefifiaHahaha mkuu sijui umesoma shule gani kwamba umaarufu wa mtu(mfanyakazi)unazidi umaarufu wa kampuni duuh?
Na Mimi nnakuuliza kwanini maulidi kitenge aliondoka efm?Sasa kwanini Jonijo amewakimbia?
Mimi sio under 23, mkuu hakuna mtu anaweza zidi umaarufu taasisi au kampuni refer David Beckham, enzi za Man U, lakini hadi leo Man U ipo, sasa Radio haiwezi kufa kisa mtangazaji ameondoka mfano dhahiri ni EAST Africa radio watu wengi sana wamepita EA radio na walikua na majina lakini bado kituo kinasonga mbele tuMedia kwa kipindi hiki zinaitaji mapresenter wazuri mfano mzr nazitaja radio mbili tu RFA na ebony ya iringa watangazaji wazr walivo ondoka na zenyewe zimefifia
Ukiwa under 23 huwezi elewa ninajosema
Ukubwa wa media unachangiwa kwa kiasi kikubwa na watngazi wano wamiliki
Kwa hili haliitaji bachelor niakili ndogo tu inayo itajika
Mkuu mbona unateseka [emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wa kuhamisha magoli,akiwa Wasafi mbaya akiwa nje ya Wasafi mzuri.
Wanacho kiongea leo na walichokiongea juzi ktk thread ya chini vitu viwili tofauti.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kipindi cha Block 89 kimepatwa na nini? - JamiiForums