1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Hapa kuna watazamaji na ushangiliaji wa vipindi,Ila wabongo tuache roho mbaya kabla ya Jonijoo kusepa nyuzi nyingi humu zilikuwa zinaponda kipindi cha block 89 wakidai ni kama genge la kihuni mara ooh wapiga makelele. Leo hii mtaalam kasepa wanadai kilikuwa kuwa kipindi bora sana hakikutakiwa kufutwa[emoji2].
Nimejifunza: Hawa ndio watanzania ukitaka kufanya jambo lako fanya tu usiangalia wanasema nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Abood siichukulii poa ila ni Radio ndogo ndogo sana kiongozi.
Inapatikana 101.7 DSM, 106.9 Dodoma, 104.9 Mbeya. Morogoro, Manyara, Iringa, Pwani, Tanga na Zanzibar sikiliza Abood fm kupitia 89.9 fm.
Nenda Manyara, Mbeya, Iringa, Dodoma hata DSM tafuta watu wa kawaida kabisa waulize kuhusu hii Abood fm kama hawatakwambia wanalijua Bus tu tafuta wasikilizaji wa Radio maana watu wengi wa haya maeneo sio wasikilizaji wa Radio nadhani katika watu 500 ni mmoja ama wawili π
Abood ni sawa na Dodoma Fm tu haifikii hata umaarufu wa Kings Fm watu wa nyanda za juu kusini watakwambia
Mi wewe siwezi kukushangaa.
Free basic wanatuokoa wengi aiseMbona picha kwang sion.. Shida ni freebasis ama nini..
Free basic wanatuokoa wengi aise
hawa watangazaji mnawaimbaimba kwa mapambio sijui Lil Ommy nk sijaona talent zao za kuwazidi wakongwe wa hii game B dazen na Adam mchomvu....
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£ wote humu tulikua tunaponda ugoro uliokua unafanyika kwenye block 89 na sio Jonijo personally na tulikua tunasema hapa kabisa wale kina mtu imara ndiyo wazinguaji wakuu.Mzee acha chuki za kipuuzi wewe si ndo ulikuwa unamponda jonijo au so wewe hiv wasafi walikufanya Nini mpaka unachuki nao sana
Binadamu bhna mwanzo walikua wanasema kipindi kimejaa kelele haki eleweki saivi tena mme kuja kitofauti duhnaona kabisa wasafi media inaenda kuanguka kama wanashindwa kuwahandle watangazaji muhimu Kama jonijoo na kufuta kipindi bora kama block89,
kipindi kilikuwa kwenye muda mzuri sana aisee.
hapo wasije mpoteza na calypso,maana inaonekana watangazaji waliokuwa kwenye block 89 wako very Disappointed kwa kufutwa kipindi chao.
Mimi nilikuwa fan wa kipindi chao na in short nko disappointed pia.
Wasafi waangalie namna ya kuwatreat presenters wao equally sio kuwafanya wengine waonekane ni bora zaidi ya wengine.
binafsi nitahama na jonijoo bcoz ni fan wake.
Kweli kabisa watu walikiponda kile kipindi cha block89 na kusema hakieleweki leo hii wameona kilikua na umuhimu na tena wanawema wasafi wanaenda kufeli,watu vigeu vigeu na wengi ni Haters leo hii wanamuona jonijoo ndio kila kitu na wanamkubali ile mbayaBinadamu bhna mwanzo walikua wanasema kipindi kimejaa kelele haki eleweki saivi tena mme kuja kitofauti duh
Mimi ni Young Mreno ππHivi wewe ndio Hamis Fully Migebuka ama Deo wa Kota ? Samahani lakini
Nakupeleka shule leo.Huu ni ujinga na unajua.
Aliyah, Calypso, Nick millz, Amy na Jonijoo wa WMG wameajiriwa wakiwa brand tayari?
Angalia followers alionao sasa Nick alafu waangalie baada ya miezi miwili kama hautashangaa kwa hao wengine umeshachelewa
Millard Ayo, Diva, Alex Lwambano, Adam Mchomvu, Hamis Mandi, Dj Fetty, Mina Ally plus wengine wote pale CMG ukiwaondoa Fredwa, Mamy baby, Kennedy, George Bantu, Musa Hussein wamekuwa Branded na CMG yenyewe.
Times fm imetoa brand mbili tu kubwa zilizofahamika nchi nzima zikiwa pale (kwa wapenda burudani maana kuna wengine hawawajui) Dida michubuo na Lil Ommy.
Feza akihamia Wasafi hamtaanza kumjadiri humu kila siku?
Nakupeleka shule leo.
Kazi ya presenter inahusiana na personality ya muhusika, kama personality yako ni ya kipuuzi kama Mtu Imara utakosa kazi na kuishia kufungua youtube channel na you will never be a brand ever.
Hao wote uliowataja ni "personality" zao ndiyo zimetengeneza brand na wakawa wao kama wao.
Hebu futa makamasi na kubali tu biashara ni ushindani leo Jonijo kapata dau nono kasepa Efm kama ambavyo Ommy alivyotoka times na kwenda wasafi kufata dau nono.
Kama radio inatengeneza brand, Je Mtu imara ni brand? Je Mtu Imara ni brand iliyotengenezwa na wasafi radio???
Personality = Brand
BogusBado lily Ommy nae mtasema kawa branded na wasafi..kuna mtu wenu mnapendaga kumtengenezea u Mungu mtu hiv mnamuona Bonge la Isack Newton Ok tumalize hivi hata ZEMBWELA,KITENGE nao tumewajua wasafi,nadhani limeisha hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya
Sikiliza Interview ya Diamond alivyokuwa Mwanza Wasafi festival ya mwaka huu alizungumza nini kuhusu Jonijoo na Block 89 yake.Kujadiliwa ndo nn bro Tunamzunguzia jonijoo before wasafi na ukitaka kujua jamaa alikuwa juu ni kwa kuangalia Sera ya wasafi wenyewe huwa wanachukua watangazaji ambao ni POTENTIAL na jonijoo was among of them na ndo maana mapema tu akala mkataba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka anitajie tu hizo team za ligi daraja la kwanza zenye uchumi mkubwa kushinda za ligi kuuNimeamini haya kweli ni maoni yako ila sijayapenda alafu una-element ya U-clouds fm
Hahaha mkuu sijui umesoma shule gani kwamba umaarufu wa mtu(mfanyakazi)unazidi umaarufu wa kampuni duuh?Kuna watangazaji Tanzania hii hawahitaji ukubwa wa channel kufuatiliwa, popote wakiwepo wanahama na kijiji chao, wafuatao ni baadhi ya watangazaji hao:
1. Salama Jabir
2. Captain G Habash
3. Maulidi Kitenge
4. Jonijo Babako
5. Millard Ayo
Ukiwa ndio boss wa hawa watangazaji, wachukulie kama maboss wenzako, sio wafanyakazi wako.
Ulimdhihaki jonijo Mara ukaanza kusema bango kubwa sijui linawaka Moto me nikakuambia jonijo na Aliyah ndio walitakiwa wabaki block 89 wewe ukapinga au mzee unazani technology inadaganya? Chochote kinachohusu Wasafi kizuri lazima upinge sijui wasafi walikukosea Nini? Kwa umri ulionao na mambo inayofanya humu jamiiforum hata ufanani mzeeπ€£π€£π€£ wote humu tulikua tunaponda ugoro uliokua unafanyika kwenye block 89 na sio Jonijo personally na tulikua tunasema hapa kabisa wale kina mtu imara ndiyo wazinguaji wakuu.
Vipi unataka uamishe magoli baada ta bango kuungua??