nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Anaitwa Juma lokole ni mtangazaji mwenye elimu ya darala la saba kwa wanaoojua tangu akianza michezo michafu akiwa mdogo sana huko sinza hawashangai sana issues zake, kijana huyo alikuwa analelelewa na bibi yake ambaye alipiga hadi akachoka ikabidi amuachie tu kijana aendelee na starehe yake
Baadye akaja kuwa mnenguaji wa fm academia ambapo mababa ya kicongo ya bendi hiyo yaliendeleza libeneke na leo ni mwajiriwa wa wasafi fm kwenye bio yake imeandikwa radio personality
Mtu kama huyo utamueleza nini kuhusu elimu? Wakati kibongobongo keshafanikiwa?ssa kijana anamuombea steve nyerere akumbukwe kwenye mgawanyo wa vyeo
Nasi tunaungana naye kumuomba mama Samia kwamba huo mkeka ujao wa M ras na Ma das asimsahau Steve nyerere tafadhali ili tulio karibu naye tufurahi
Baadye akaja kuwa mnenguaji wa fm academia ambapo mababa ya kicongo ya bendi hiyo yaliendeleza libeneke na leo ni mwajiriwa wa wasafi fm kwenye bio yake imeandikwa radio personality
Mtu kama huyo utamueleza nini kuhusu elimu? Wakati kibongobongo keshafanikiwa?ssa kijana anamuombea steve nyerere akumbukwe kwenye mgawanyo wa vyeo
Nasi tunaungana naye kumuomba mama Samia kwamba huo mkeka ujao wa M ras na Ma das asimsahau Steve nyerere tafadhali ili tulio karibu naye tufurahi