Mtangazaji Lil Ommy wa Times FM awaaga wasikilizaji. Tetesi zadai anaelekea Wasafi FM

Mtangazaji Lil Ommy wa Times FM awaaga wasikilizaji. Tetesi zadai anaelekea Wasafi FM

Lil ommy ndiye kiongozi wao wakina jonijoo, Aliyah, Calipso, Highness derick(mpiga picha) na wengine wengi waliopo sasa Wasafi media. Alichofanya yy n kuwatanguliza alaf yy anakuja nyuma....kuna interview moja alihojiwa alikiri kwamba yy ana mchango jonijo na wenzie kuwa hapo...pia ukifuatlia Aliyah umuita Lil ommy "father"
 
Tetesi nasikia anaenda Wasafi,ila mimi napenda sana naye awe na studio yake mwenyewe kama alivyo Millard Ayo ,Sam Misago awe ana deal na maswala ya burudani.

Ila mwisho wa siku maamuzi ni yake ila naamini Lil Ommy brand yake ni kubwa anaweza kujitegemea mwenyewe.
Sam misago ana studio gani
 
Daah Wasafi bhana!!Ilitakiwa wawe wabunifu wasakanye watangazaji wapya uko Chimba unye ndichi ndichi machochoroni then wa'develop,Pia waanzishe vipindi vyao vipya,,,Wao walitamani msoma magazeti wa asubuhi kama Kitenge pale E-FM,wakaamua kumchukua,Wakatamani tena kipindi cha michezo kama Sports HQ wakawachukua hao kina Edo,Kitenge,Pia wakatamani kipindi kama cha Mashamsham cha Times FM chini ya Dida, wakaamua kuwachukua kabisa wote na huyo Idriss kitaa,,Lakini pia Kipindi kama The Playlist ndo wamemchukua The MVP,Half man half amazing,The king of Interview..Though akuna jipya duniani ila Creativity ni nzuri.
 
Daah Wasafi bhana!!Ilitakiwa wawe wabunifu wasakanye watangazaji wapya uko Chimba unye ndichi ndichi machochoroni then wa'develop,Pia waanzishe vipindi vyao vipya,,,Wao walitamani msoma magazeti wa asubuhi kama Kitenge pale E-FM,wakaamua kumchukua,Wakatamani tena kipindi cha michezo kama Sports HQ wakawachukua hao kina Edo,Kitenge,Pia wakatamani kipindi kama cha Mashamsham cha Times FM chini ya Dida, wakaamua kuwachukua kabisa wote na huyo Idriss kitaa,,Lakini pia Kipindi kama The Playlist ndo wamemchukua The MVP,Half man half amazing,The king of Interview..Though akuna jipya duniani ila Creativity ni nzuri.
Watu wanafanya biashara alafu wewe unawaza mambo ya kukuza kipaji unadhani hiyo ni Arsenal?
 
Tetesi nasikia anaenda Wasafi,ila mimi napenda sana naye awe na studio yake mwenyewe kama alivyo Millard Ayo ,Sam Misago awe ana deal na maswala ya burudani.

Ila mwisho wa siku maamuzi ni yake ila naamini Lil Ommy brand yake ni kubwa anaweza kujitegemea mwenyewe.
Tetesi ila bado haijawa uhakika, inaweza kuwa anaanzisha empire yake inawezekana pia
 
Yes Ilikuwa lazima atoe machozi kwani Times Radio watu wa kwanza kumpa platform akiwa hana fan base yoyote ile,hadi leo ana ondoka Times akiwa Mfalme.all and all huu mwezi mgumu sana kwa Times Fm kwani wame poteza watu watatu muhimu sana Geha ,Siz wa Kitaa na Lil Ommy na wote wame enda wasafi .vipindi vyao ndio vipindi vilivyo kuwa Roho ya Times Fm jamaa wana ondoka na mashabiki wao.kwajinsi Lil Ommy alivyo mzuri kwenye interview wana takiwa kumpa kipindi kwenye Radio pia kwenye Tv.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Geha, Siz wa Kitaa ndio kina nani hao..?, anaitwa Dida Shaibu na Idris Kitaa
 
U
Watu wanafanya biashara alafu wewe unawaza mambo ya kukuza kipaji unadhani hiyo ni Arsenal?
Uku chimbo kunae ma'presenter wa noma sana bas tu yaani hawaangaliwi,,sasa tukiona media zinawapa platform hao hao wakubwa sisi roho zinatuuma chaliangu.
 
wasafi ni hatari sana kwa sasa
Kwa Bongo wa watangazaji Wote wa Habari za burudani hakuna anaye mfikia Lil Ommy jamaa ana jua sana sema alikuwa yuko kwenye Radio iliyo kuwa haina wasikilizaji wengi .Kama anaenda Wasafi hakika wamepata Mtu sahihi sana .Bila shaka ana enda kuchukua kipindi cha Saa nane hadi kumi jioni.kwa tafsiri hiyo asubuhi uki sikiliza magazeti na chumvi ukitoka hapo una ingia Sports Arena baada ya hapo Ge a then una kutana na Lil Ommy
.

Sent from my iPhone using JamiiForums.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom