Mtangazaji Lil Ommy wa Times FM awaaga wasikilizaji. Tetesi zadai anaelekea Wasafi FM

Mtangazaji Lil Ommy wa Times FM awaaga wasikilizaji. Tetesi zadai anaelekea Wasafi FM

Kwahiyo ana kipindi na jioni... Muda gani tafadhali...?
Hiyo hiyo sababu ya muda mdogo ndio inayo mpeleka kwenye kipindi cha jioni ili afanye vipindi viwili.kwani kipindi cha Sasa cha magazeti ana sikika kwa nusu Saa tu Saa moja na nusu hadi mbili kamili.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo hiyo sababu ya muda mdogo ndio inayo mpeleka kwenye kipindi cha jioni ili afanye vipindi viwili.kwani kipindi cha Sasa cha magazeti ana sikika kwa nusu Saa tu Saa moja na nusu hadi mbili kamili.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Halafu sio lazima atangaze,anaweza pia kufanya production na mambo mengine mengi tu
 
Back
Top Bottom