tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
ok sawa, ila barua aliiandika Bosi wake marehemu Ngayhoma ( rip)Hapendi kuingiliwa kwenye taaluma awapo kazini, alesema kilicho muondoa IPP enzi hizo ni kuletewa habari aitangaze wakati tayari alikuwa amekwisha anza kurusha habari radioni na hiyo habari ilikuwa haija hakikiwa ila kwa kuwa ililetwa na bosi enzi hizo marehemu MUTIE aka kataa kuisoma na bosi akamwambia aandike barua ya kujieleza akampa maelezo ya mdomo bosi aka mind maosud akaamua kuacha kazi. Nadhani hiki ndio kimemfanya abakie TBC kuongozwa kimzuka na mabosi wasio na taaluma ni shida.
ukimsikiliza kwenye kipindi cha music wa rock,pop, etc utapendaHuyu Mzee anajua sana. Anaonesha ukongwe wake katika utangazaji. Kuna mwingine mtangazaji wa zamani alikuwa anaitwa Mikidadi Mahmoud sijui yupo wapi siku hizi.!
Yuko kama Paul JamesHuyu mzee adcted na pombe
kali hasa Ile sprit Ya Russia,,, na hivi ana muonekano wa kisomali yupo kama kagame
...teh teh teh...ushakubali kuwa nguruwe.,usidai mabawa!
Shika adabu yako.ndo yule mbabu kama choko?
Mohamed au Ahmed Kipozi, au nachanganya mafaili kiongozi.Na yule Mohammed kipozi sijui yupo wap siku hizi
Ndo huyo huyo ndugu yanguMohamed au Ahmed Kipozi, au nachanganya mafaili kiongozi.
Radhia Sweety.aisee sikumaanisha huyu baba , anisamehe bure!!