bullet
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 1,047
- 543
Kuna kipindi alikuwa mkurugezi wa Radio Uhuru.Huyu Mzee anajua sana. Anaonesha ukongwe wake katika utangazaji. Kuna mwingine mtangazaji wa zamani alikuwa anaitwa Mikidadi Mahmoud sijui yupo wapi siku hizi.!