Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.

Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.

Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.

Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.

Hongera Manju,
MASOUD MASOUD !



Jamaa ni manju wa muziki lakini aliniacha hoi pale alipochemsha simulizi za marehemu Papa Wemba. Yaani sijuwi alidanganywa na nani maana alikosea wasifu wa Papa Wemba vibaya sana. Mwingine ambaye alikuwa mtaalam wa muziki ni marehemu Maestro Freddy Mosha. Jamaa alikuwa noma sana, Mungu ailaze roho yake peponi.
 
Bongo tunahitaji watangazaji kama Masoud kwani vijana wa leo ni mbumbumbu tu dizaini ya Gardner.
 
Acha Urongo huyu Alikuwepo Radio One na Sasa yupo TBC nini unazungumza wewe au ndio zile zilizoimbwa sifa za kijinga
sasa sifa za kijinga zinatoka wapi hapo kiongozi, kama nimeoverlook si unarekebisha kisha unaendelea na mengine.
 
Hata akiongea Kiingereza ni very smart. Grammar and accent super

Alikua katika mazingira ya kuongea kiingereza tu. Toka azaliwe na kuanza kuongea, lugha ya kwanza kuongea ni kiingereza na kiswahili alianza kujifunza akiwa na miaka 16 mpaka 20 hivi. Kuna mahojiano fulani nilimsikiliza vizuri sana
 
Alikua katika mazingira ya kuongea kiingereza tu. Toka azaliwe na kuanza kuongea, lugha ya kwanza kuongea ni kiingereza na kiswahili alianza kujifunza akiwa na miaka 16 mpaka 20 hivi. Kuna mahojiano fulani nilimsikiliza vizuri sana
I see!!!!
 
vyombo vya hbr vya ccm tbc + uhuru fm&magazine huwa sivipi muda kamwe,........kutwa nyimbo za vijembe kwa wananchi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85] [emoji85] nimecheka saaaaana asante Maan mseto wa Malaria unanizingua
 
emoji15.png
emoji15.png
emoji15.png
emoji15.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji85.png
emoji85.png
nimecheka saaaaana asante Maan mseto wa Malaria unanizingua
Aisee we umenichekesha sana khaa
wakuu nawashauri mkae navyo mbali,.maana unaweza kurusha ngumi kwenye radio/tv ,aisee
 
Nakumbuka alipofariki Michael Jackson kulikuwa na misaa maalum ya kumuaga ilikuwa inarushwa live na tbc...jinsi ambavyo Masoud alikuwa akisimulia na kuwatambua watu mbali mbali ilifurahisha sana kweli anaujua muziki na wanamuziki.
 
Back
Top Bottom