GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Anataka (tena kwa Kushadadia kabisa) Timu ya Coastal Union FC ya Tanga ihukumiwe na Kamati ya Saa 72 kwa Wachezaji wake kumfanyia Vurugu Mwamuzi (Refa) wa Juzi ila haishangai Kamati hiyo hiyo hadi leo hii Kushindwa Kukaa na Kuihukumu Yanga SC yake (anayoishabikia) kwa Kukiuka Kipengele cha Kanuni ya Ligi Kuu kwa Kuvalia Jezi yao Nyeusi katika kila Mechi tofauti na ambavyo Utaratibu unataka.
Tukimuita Zero Brain tunakuwa sawa.
Tukimuita Zero Brain tunakuwa sawa.