Mtangazaji Paul James 'PJ' arejea Clouds FM

Mtangazaji Paul James 'PJ' arejea Clouds FM

Hamuwezi kuwapangia watu aina ya watangazaji
Mtu kama Paul James ni nguli ameanzia adio uhuru,shule ipo na ana uwezo wa kuchambua mambo ya kispoti kwa nini asinunuliwe
Paul James huwezi kumlinganisha na Mbozi Katala wa TBC
 
Hii dunia kweli inahitaji kabsaaa malaika wa kushuka na kuiombea yani msaliti leo hii anapigiwa vigelegele?
 
redio mpya inabidi zije na watangazaji wapya sio kwa kuchukua wale wa redio zenye mashabiki wengi na kutembea kwenye nyota ile ile ya wenzao mfano efm hawakuwa na haja ya kumchukua pj kusoma yale yale magazeti aliyokuwa anasoma clouds then unaita creativity hiyo cio creativity bali ni copy and paste
Walitemwa clouds wakajoin efm
 
Kuna kibwagizo cha efm wanasema Iga tena na hii naona ni dongo upande wa pili
 
Kuna kibwagizo cha efm wanasema Iga tena na hii naona ni dongo upande wa pili
Nani anaiga? Pb=joto la asubuhi,uhondo=Leo tena,jahazi=ubaoni,,tena adi watangazaji walichukua.efm wapo bize kupambana na clouds(wana majungu na vijembe vya taarab)
Watanzania tukimuona mtu yupo juu tunajitahidi kumshusha ili kupandisha mwingine sio kupandisha mwingine ili wawe wawili.EA radio na clouds FM ni station bora kuwahi tokea nchini.Kwa style hii ya midume ya efm kuimba taarab kazi wanayo
 
Nani anaiga? Pb=joto la asubuhi,uhondo=Leo tena,jahazi=ubaoni
Unataka useme vipindi vyenye maudhui ya asubuhi aliye anzisha ni Clouds!!?
Maana yake vile vipo kila redio
Unataka useme vipindi kama elo tena wameanzisha Clouds , mbond vipo hadi TBC fm!!?
Unataka useme vipindi vya maudhui ya jioni kama Jahazi, vimeanzisha na Cloudz!!
Mbona had tbc taifa vipo!!?
Ni wazi Efm hawakuwaiga Clouds ila waliangalia muda wa vipindi na maudhui yake , kwenye kila redio vipo.
 
Unataka useme vipindi vyenye maudhui ya asubuhi aliye anzisha ni Clouds!!?
Maana yake vile vipo kila redio
Unataka useme vipindi kama elo tena wameanzisha Clouds , mbond vipo hadi TBC fm!!?
Unataka useme vipindi vya maudhui ya jioni kama Jahazi, vimeanzisha na Cloudz!!
Mbona had tbc taifa vipo!!?
Ni wazi Efm hawakuwaiga Clouds ila waliangalia muda wa vipindi na maudhui yake , kwenye kila redio vipo.
Hawakujua jinsi gani ya kuvifanya viwe bora bila msaada wa mawingu FM ndo maana walienda kwa hando.PJ.dina na gardner
 
Hawakujua jinsi gani ya kuvifanya viwe bora bila msaada wa mawingu FM ndo maana walienda kwa hando.PJ.dina na gardner
Dina -alikuwa hana kazi
Gadner-alikuwa times fm
Pj- kakaa miez hata mi 4 haija fka
At least Gerald Hando sawa ndio anaendelea

Claims zako asilimia kubwa si kweli
 
Dina -alikuwa hana kazi
Gadner-alikuwa times fm
Pj- kakaa miez hata mi 4 haija fka
At least Gerald Hando sawa ndio anaendelea

Claims zako asilimia kubwa si kweli
Naona unaconclude..dina ndo mama wa Leo tena.Gardner mwanzilishi wa jahazi,hando na PJ ni alama ya pb
 
Naona unaconclude..dina ndo mama wa Leo tena.Gardner mwanzilishi wa jahazi,hando na PJ ni alama ya pb
Mama wa leo tena ni Amina Chifupa mkuu, dina alikuja baadaye, halafu yule wakat Efm wana muajiri hakuwa mfanyakaz wa Clouds media.
Gadner-Alichukuliwa wakat anatangaza Times fm, alikuwa Clouds asha ondoka, kwa hiyo hakuna haja ya kusema efm walichukua watu wa cloudz akat wati hawakuepo uko
Kwa Pj sbishi ,lakin asha ondoka naye.
 
Hawakujua jinsi gani ya kuvifanya viwe bora bila msaada wa mawingu FM ndo maana walienda kwa hando.PJ.dina na gardner
Kulikua na kipindi KAHAWA AU CHAI.enzi hizo. Haya ni maudhui tu. Hao wanatafutwa tafutw ni kukosa ubunifu au kutafuta kukaa mawazoni mwa waskilizaji mapema
 
Back
Top Bottom