shinji majige
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 560
- 214
Usipende kuweka ukabila ktk mazungumzo na watu wengi.Usishangae Mkuu always wasukuma ni malimbukeni haswaa,yule mwenzie aliyekabidhiwa nchi sasa hivi kila wakati akiongea anashika kitambi
[emoji23] [emoji23] imekuchoma, ukweli yule jamaa anawakilisha kabila Fulani malimbukeniUsipende kuweka ukabila ktk mazungumzo na watu wengi.
shenzi type kabisa.
hufai hata kwa bure ww.
aseeee nakufa kucheka huku[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Habari zenu!
Kwa kweli unaboa, naona watangazaji wa itv kila mmoja anakuja na 'symbol' yake!
Sam Mahela hii ya kwako inaboa kama ya Georgeeèee Maratoooooo wa aaaaaaaaaaiiiiitiiiiiiiiiiiviiiiiiiiiiiiiii, roryaaaaaaaaaaaam!
Sasa mahela yeye ana yake ya Sam Mahela wa Itv alafu anamalizia kama anadondosha bichwa, bro, unaboa sana! Njoo na symbol ya maana sio kupepesa bichwa!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu unamaanisha kichwa kipi sam huwa anatingisha???
George Maratu ndo baba lao.Binafsi sam, ufoo salo, na George huwa wananifurahisha sana hua naenjoy kutizama hasa pale wanaposemaga... Nikiriport kutoka..... Mimi ni ufoo salo itviiiiiiiiiiiii
...aah,taratibu mtumishiMimi napenda sana anavyotikisa Kichwa, naweza hata nisisikilize habar nkasubr hicho kichwa tu . . . hiyo ni trade mark yake.
Acheni vijana wetu wafanye mambo, big up Sam
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] nimecheka sana Mkuu eti husikilizi habari unasubiri kichwa tuMimi napenda sana anavyotikisa Kichwa, naweza hata nisisikilize habar nkasubr hicho kichwa tu . . . hiyo ni trade mark yake.
Acheni vijana wetu wafanye mambo, big up Sam
Umeua.Jamaa anaiga wazungu kutikisa vichwa wkt wa kusogeza nywele. Naona hata wadada wengi wa kiafrika hufanya upuuzi huu. Hiyo ndo laana ya mwafrika, wkt wote kutaka afanane na mzungu
Vijana mna kejeli mbayaUsishangae Mkuu always wasukuma ni malimbukeni haswaa,yule mwenzie aliyekabidhiwa nchi sasa hivi kila wakati akiongea anashika kitambi
[emoji23] [emoji23]Mimi napenda sana anavyotikisa Kichwa, naweza hata nisisikilize habar nkasubr hicho kichwa tu . . . hiyo ni trade mark yake.
Acheni vijana wetu wafanye mambo, big up Sam