GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni Mtangazaji ambaye ukiwa Unamsikiliza tu utagundua kuwa Kwanza ni Mswahili Mswahili.
Ni kwamba jana alipoingia (alipoanza Kipindi cha Michezo) cha Sports Headquarters cha EFM Saa 3 Kamili za Asubuhi alianza na Mbwembwe zake za Kishamba na 'Kujimwambafai' kuwa ameshinda Nafasi ya Uenezi katika Chaguzi za CCM huko Kwao Temeke na kutaka aanze Kuheshimika.
Je, TCRA na hata Kimaadili kwa wana Habari ni sahihi na inaruhusiwa Mtu Kujinasibu Chama cha Siasa anachokishabikia tena kupitia Redio isiyo ya Chama?
Ni kwamba jana alipoingia (alipoanza Kipindi cha Michezo) cha Sports Headquarters cha EFM Saa 3 Kamili za Asubuhi alianza na Mbwembwe zake za Kishamba na 'Kujimwambafai' kuwa ameshinda Nafasi ya Uenezi katika Chaguzi za CCM huko Kwao Temeke na kutaka aanze Kuheshimika.
Je, TCRA na hata Kimaadili kwa wana Habari ni sahihi na inaruhusiwa Mtu Kujinasibu Chama cha Siasa anachokishabikia tena kupitia Redio isiyo ya Chama?