TANZIA Mtangazaji Violet Mzindakaya amefariki

Pumzika kwa amani mama,Mwenyezi Mungu akupe pumziko la amani,Wote ni waja wake na kwake tutarejea.Poleni sana wafiwa.
 
Hivi Mkuu eti kati ya hawa wapiga Magitaa ' maarufu ' ya Solo wa Kikongo Diblo Dibala na Dally Kimoko ni nani unaona labda yupo juu na mahiri kuliko mwenzake?
Ngouma Lokito huyu ni balaa
 
Halina mwenyewe unaweza kukuta hata wewe unalisikiliza bila kujua, siku sauti ikikolea lazima uamke kucheza!
 
Hivi Mkuu eti kati ya hawa wapiga Magitaa ' maarufu ' ya Solo wa Kikongo Diblo Dibala na Dally Kimoko ni nani unaona labda yupo juu na mahiri kuliko mwenzake?
Wote walikua sawa tu aisee kwa upande wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…