kashesho
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 4,975
- 2,487
Ndiombinguni tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiombinguni tena?
!Em kwa mungu hakuna chama muwe mnaandika la maana Kenya msiba
Mbinguni akafanye nnNdio
Hivi Juma Nature nyimbo zake nani mpiga gitaa wake!!Daly Ndala Kimoko ni mkali zaidi (nyimbo nyingi alizocharaza zimenoga)
Guitar lipi? Bass, rhythm, Solo au second solo?Hivi Juma Nature nyimbo zake nani mpiga gitaa wake!!
R.I.PTaarifa ndio hiyo, Sister V aliyekuwa mtangazaji wa Radio Uhuru, mtoto wa Kiongizi Mkongwe hapa nchini Chrisant Majiyatanga Mzindakaya, amefariki. Tulikuwa nae Taifa juzi kwenye mechi ya Yanga na Simba na leo, ndugu yake Ben Mwanantala, amethibitisha kifo cake.
View attachment 621181
Diblo DibalaHivi Juma Nature nyimbo zake nani mpiga gitaa wake!!
Ngouma Lokito huyu ni balaaHivi Mkuu eti kati ya hawa wapiga Magitaa ' maarufu ' ya Solo wa Kikongo Diblo Dibala na Dally Kimoko ni nani unaona labda yupo juu na mahiri kuliko mwenzake?
Hivi gitaa kwa kiingereza ndio guitar, yaani spelling zake. Asante kwa kujua hilo mkuuGuitar lipi? Bass, rhythm, Solo au second solo?
Kashtuka baada ya Nyarandu au
Halina mwenyewe unaweza kukuta hata wewe unalisikiliza bila kujua, siku sauti ikikolea lazima uamke kucheza!Gitaa la Dally Kimoko likikubali lazima tu utaamka kitini ucheze Mkuu. Halafu sijui ni kwanini Gitaa la Dally Kimoko huwa linapenda sana ' Kushtukiza ' hasa katika upigaji wake na ule mlio. Dada umeshawahi kulisikia lakini Gitaa hilo? Tafuta Wimbo wa ' Inde Monie ' wa Kanda Bongoman au ile Album ya Aurlus Mabele ya ' Stop Alertez ' utalisikia hilo Gitaa la Dally Kimoko jinsi linavyounguruma.
Wote walikua sawa tu aisee kwa upande wangu.Hivi Mkuu eti kati ya hawa wapiga Magitaa ' maarufu ' ya Solo wa Kikongo Diblo Dibala na Dally Kimoko ni nani unaona labda yupo juu na mahiri kuliko mwenzake?