Fundisho kwa tuliobaki ni kuwa tujali afya zetu kwa kula chakula bora siyo bora chakula. Vyakula vingi siku hizi havina ubora ingawa vitamu, kwani vinaleta matatizo ya presha kuwa juu. The poor kids mwaka jana tu wamefiwa na mama yao na leo baba yao anaondoka!!!! I can imagine jinsi walivyoumia!!!! All in all tuliobaki tuangalie afya zetu kwani magonjwa mengine yanaepukika especially High Blood Pressure.
Habari za hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Ndugu Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.
Kibonde alianza kusumbuliwa na presha akiwa katika msiba wa marehebu Ruge Mutahaba huko Bukoba mkoani Kagera na kuhamishiwa hospitali ya Bugando jijini Mwanza ambapo mauti yamemkuta.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM, Sebastian Maganga wamethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa
Mwaka jana Ephraim Kibonde alimpoteza mkewe mama Sara Kibonde. Zaidi soma >TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde - JamiiForums
View attachment 1039958
Ephraim Kibonde akiwa na mkewe enzi za uhai wao
Kuna kale kamsemo hakuna msiba usie na mwenziwe ndio leo nimekaamini aisee!Duh! Ruge kaondoka na Kibonde!!!😳😳
Mmm!
Hahah dah bora wali nyama kuliko walimwengu. R.I.P kibondehaya tunaitaji kusikia zile sifa kede kede kama za yule malaika aliekua akifungulia watu dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujiandae maana hatujui siku wala saa ni lini tutatwaliwa,Pumzika kwa amani kaka Kibonde.
Ndugu wenye roho mbaya watavyofakamia mali za watu...
Watoto kazi wanayo ila naamini Mungu atawaongoza
Sent using Jamii Forums mobile app
Rip Kibonde
Habari za hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Ndugu Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.
Kibonde alianza kusumbuliwa na presha akiwa katika msiba wa marehebu Ruge Mutahaba huko Bukoba mkoani Kagera na kuhamishiwa hospitali ya Bugando jijini Mwanza ambapo mauti yamemkuta.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM, Sebastian Maganga wamethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa
Mwaka jana Ephraim Kibonde alimpoteza mkewe mama Sara Kibonde. Zaidi soma >TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde - JamiiForums
View attachment 1039958
Ephraim Kibonde akiwa na mkewe enzi za uhai wao
Hiyo aya ya pili na yatatu ni kama umemuandikia kibonde aisome.... unfortunately hatoweza kusoma tena sembuse kunyanyua simu....all in all hakuna binadamu mkamilifu....tusameheane tunapokoseana.....ili mwishoni mwa siku tupumzike kwa amani huko tuendakoRIP ephraim kibonde.
kifo chako kinanikumbusha miaka kadhaa iliyopita lililipotokea tukio la kutekwa dr. ulimboka na mgomo wa madaktari.
kibonde kwa kupitia kipindi cha radio cha jahazi, ulikuwa upande wa kuitetea serikali na kudhihaki harakati zote za madaktari za kupigania haki yao.
ndipo baadae zikaanza kuzagaa taarifa kwamba wewe mwenyewe ni mgonjwa wa ukimwi na unawategemea madaktari hao hao kusogeza siku zako za kuishi.
inalilahi wainalilahi rajiun