TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Magonjwa yasiyoambukizwa kama magonjwa ya moyo (PRESHA) na kisukari ndo yanaongoza sasa katika nchi zinazoendelea kwa kuua. Haya ni magonjwa yanayothibitika na kuponyeka, ila weng wetu hatujui tunayo sababu hatuna kawaida ya kupima afya. Watu tukienda kupima afya, tunapima malaria tu. TUBADILIKE.
Haya magonjwa hayana dalili wala huhitaji kuwa mnene kuwa nayo. Presha ndo chanzo kikuu cha kiharusi. TUBADILIKE NDUGU ZANGU.
 
Mwanadamu kumbuka ,sisi ni mavumbi, na mavumbini tutarudi.

R.I.P..Ephraim Kibonde.
 

Habari za hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Ndugu Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.

Kibonde alianza kusumbuliwa na presha akiwa katika msiba wa marehebu Ruge Mutahaba huko Bukoba mkoani Kagera na kuhamishiwa hospitali ya Bugando jijini Mwanza ambapo mauti yamemkuta.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM, Sebastian Maganga wamethibitisha kutokea kwa kifo hicho.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa

Mwaka jana Ephraim Kibonde alimpoteza mkewe mama Sara Kibonde. Zaidi soma >TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde - JamiiForums

View attachment 1039958
Ephraim Kibonde akiwa na mkewe enzi za uhai wao​
Fundisho kwa tuliobaki ni kuwa tujali afya zetu kwa kula chakula bora siyo bora chakula. Vyakula vingi siku hizi havina ubora ingawa vitamu, kwani vinaleta matatizo ya presha kuwa juu. The poor kids mwaka jana tu wamefiwa na mama yao na leo baba yao anaondoka!!!! I can imagine jinsi walivyoumia!!!! All in all tuliobaki tuangalie afya zetu kwani magonjwa mengine yanaepukika especially High Blood Pressure.
 
Kuna msemo nashindwa kuuandika wakisukuma..mtu akifa na mwingine wa familia hyo hyo kwa muda mfupi wanasema yule wa kwanza amemwita huyu wa 2 ..yaan walikua wanapendana au roho yao ilikua 1..Ruge kakataa kwenda alone kamwita Kibonde..
sasa sijajua kama urafiki wa namba 1 na mkuu wa mkoa mkubwa watatangulizana hvi!polenCMG
 

Habari za hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM, Ndugu Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.

Kibonde alianza kusumbuliwa na presha akiwa katika msiba wa marehebu Ruge Mutahaba huko Bukoba mkoani Kagera na kuhamishiwa hospitali ya Bugando jijini Mwanza ambapo mauti yamemkuta.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza pamoja na Mkuu wa Vipindi wa Clouds FM, Sebastian Maganga wamethibitisha kutokea kwa kifo hicho.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa

Mwaka jana Ephraim Kibonde alimpoteza mkewe mama Sara Kibonde. Zaidi soma >TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde - JamiiForums

View attachment 1039958
Ephraim Kibonde akiwa na mkewe enzi za uhai wao​
Rip Kibonde
 
RIP ephraim kibonde.
kifo chako kinanikumbusha miaka kadhaa iliyopita lililipotokea tukio la kutekwa dr. ulimboka na mgomo wa madaktari.

kibonde kwa kupitia kipindi cha radio cha jahazi, ulikuwa upande wa kuitetea serikali na kudhihaki harakati zote za madaktari za kupigania haki yao.

ndipo baadae zikaanza kuzagaa taarifa kwamba wewe mwenyewe ni mgonjwa wa ukimwi na unawategemea madaktari hao hao kusogeza siku zako za kuishi.

inalilahi wainalilahi rajiun
Hiyo aya ya pili na yatatu ni kama umemuandikia kibonde aisome.... unfortunately hatoweza kusoma tena sembuse kunyanyua simu....all in all hakuna binadamu mkamilifu....tusameheane tunapokoseana.....ili mwishoni mwa siku tupumzike kwa amani huko tuendako
 
Back
Top Bottom