TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Da sikuwa mpenzi wa Ruge, Kibonde wala Clouds lakini nimeumia sana. RIP.
 
Hakika msiba wa Ruge ulitaka uende na wengi, kwani kuna wengine walipata ajali maeneo ya Dodoma wakitoka kwenye mazishi ya marehemu ni Mungu tu kawanusuru ingekua balaa.
 


haya ndyo maneno ya dudu baya!! jamaa kumbe muda mwingne ana akili na anaweza kuongea vizur na mazuri kwa watu
 
Poleni sana CMG kwa misiba miwili mikubwa....

JF naona siku hizi mnachagua nani anafaa kuweka uzi na nani hafai kuweka uzi...

Nikiwa mwanza kikazi,leo asubuhi napata habari za kifo cha Kibonde toka kwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa wa Mwanza...

Naingia kwenye page ya clouds ya IG wameshatoa taarifa za kifo cha staff wao...

Nami naandika thread hapa juu ya kifo cha Kibonde,naweka na supporting document toka page ya Clouds ya IG...

Nashangaa uzi wangu unafutwa... nakutupwa kwenye dustbin,ila aliyekuja nyuma yangu anaachwa na uzi wake...

Maswali yangu kwenu JF...
a) Hivi naweza toa taarifa za uongo kuhusu kifo cha mtu?? Kwa manufaa ya nani hasa. Hivi mlitaka muamini nini hasa kama nilichofanya mimi,ndicho alichofanya mleta mada nyuma yangu??

b) Je mnapenda watu.wapi wa namna gani watoe thread/uzi ndiyo uamini??

c) Nimepata taarifa toka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mwanza,pia Clouds wenyewe wakawa washatoa kabisa taarifa zao kwenye IG page yao... Ila mkaona hapana mkatoa uzi wangu.

Mnakera sana tena sana....Msipende kubagua nani anafaa na nani hafai kuweka uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
kwan we ndo msemaji wa familia ya kibondee?kama wanafuta thread yako c uwe mpole tu ndugu
 
Una maanisha wasiopitia magumu wao hawamuhitaji Mungu?!
Mkuu! Wote tunamuhitaji MUNGU; Tuko hai kwa Neema yake tu! Kibinadamu,tukiwa wazima tunajisahau kua MUNGU yupo na yakitukuta ndio tunatambua na hata kuhisi uwepo wake - kama tukimtafuta lakini! Maana kuna wanaopitia magumu na kuishia kumsahau MUNGU na hata kudiriki kusema hakuna MUNGU!
 

Nilikuwa najiuliza ni kwanini Mtaka anaonekana RC na kiongozi bora sana.

Juzi nilipata kumsikiliza akielezea kwamba JK aliwachukuwa miaka hiyo ya zamani na kuwapeleka katika semina za uongozi.

Haya ya mkuu wa mkoa kugeuka mganga mkuu na kuthibitisha kifo ni maajabu.
 
Kuna tetesi ruge alikuwa poisoned,je kifo cha kibonde ni kuzima hisia flani?..wisdom will kill me o
 
Anatangaza huo msiba kama nani? Ila CMG kuna muda mnapenda kuinuma mambo yaonekana makubwa.
 
Back
Top Bottom