hakika ni salaam aliyoipenda kuitamka marehem pindi aingiapo kipindini. hivi Kibonde ni Islamic?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maanisha wasiopitia magumu wao hawamuhitaji Mungu?!Kwa hakika wanamuhitaji MUNGU!! Wanayopitia ni magumu sana sana!!
ilikuwa Mwaka janaHuyu si kafiwa na mke juzi juzi!![emoji15]
Mkuu tupo safarini.... tuombe Mungu tuwe na mwisho mwema!Kama ni kweli hakika tunatembea na kifo
kwan we ndo msemaji wa familia ya kibondee?kama wanafuta thread yako c uwe mpole tu nduguPoleni sana CMG kwa misiba miwili mikubwa....
JF naona siku hizi mnachagua nani anafaa kuweka uzi na nani hafai kuweka uzi...
Nikiwa mwanza kikazi,leo asubuhi napata habari za kifo cha Kibonde toka kwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa wa Mwanza...
Naingia kwenye page ya clouds ya IG wameshatoa taarifa za kifo cha staff wao...
Nami naandika thread hapa juu ya kifo cha Kibonde,naweka na supporting document toka page ya Clouds ya IG...
Nashangaa uzi wangu unafutwa... nakutupwa kwenye dustbin,ila aliyekuja nyuma yangu anaachwa na uzi wake...
Maswali yangu kwenu JF...
a) Hivi naweza toa taarifa za uongo kuhusu kifo cha mtu?? Kwa manufaa ya nani hasa. Hivi mlitaka muamini nini hasa kama nilichofanya mimi,ndicho alichofanya mleta mada nyuma yangu??
b) Je mnapenda watu.wapi wa namna gani watoe thread/uzi ndiyo uamini??
c) Nimepata taarifa toka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mwanza,pia Clouds wenyewe wakawa washatoa kabisa taarifa zao kwenye IG page yao... Ila mkaona hapana mkatoa uzi wangu.
Mnakera sana tena sana....Msipende kubagua nani anafaa na nani hafai kuweka uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu! Wote tunamuhitaji MUNGU; Tuko hai kwa Neema yake tu! Kibinadamu,tukiwa wazima tunajisahau kua MUNGU yupo na yakitukuta ndio tunatambua na hata kuhisi uwepo wake - kama tukimtafuta lakini! Maana kuna wanaopitia magumu na kuishia kumsahau MUNGU na hata kudiriki kusema hakuna MUNGU!Una maanisha wasiopitia magumu wao hawamuhitaji Mungu?!
Yani doh
King Zillah
Mamake Langa
Ruge
Kibs
Yule shekhe
Babake mchiz mox
Mke wa Nyirenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu, ndugu zake wameshika dini na ni Mashahidi wa Yehova.Duh huuu ukoo wa kibonde naujua tokea wakati ule wakina kibonde wanaishi upanga....
Poleni sana kibonde family&sarah&lydia&stella
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mpiga picha mmoja wa clouds aligongwa na gari akafunjika miguu pale airport wakati wa harakati za kusafirisha Ruge...Mmmmh aisee! Ile ajali ya wafanyakazi wa clouds wakitokea Bukoba na leo tena msiba wa Kibonde! Bundi gani katua CMG!!!
Sent using Jamii Forums mobile app