Ujumbe wangu ni watu kuondoka wakiwa bado vijana. Hao wote niliowataja wameacha historia licha ya kutofikisha hata nusu karne.
Mkuu, pumzi ikikata tu unageuka kuwa mzigo, haupitishwi tena ndani ya ndege, unapelekwa kule kwenye sehemu ya mizigo.Nikiwaza kifo mimi uwa nakula nakunywa na nasali .....
Imagine uwa nalala na biblia chini ya mto kiufupi bado sielewi kifo nini......
Uwa wanakutana na nini kule je kuna maisha tena .......
Kiufupi naogopa sana kifo ingekuwepo shule ya kufundisha kifo ningeenda nikakisome.......
Na ndio uwa nawashangaa wanaotaka kutanguliza wenzao wakati wao wanaishi daaah uwa nawashangaa sana ujasiri wanaupata wapi?.......
Imagine unakuwa unalindwa kwa majeshi na kila kitu ila ukifa ni kwenye udongo tu kama chokolaa wa pale Buguruni au teja kinondoni........
Dah Kifo........
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa mawazo yako, ujumbe wangu ni kuondoka duniani mapema kuliko inavyotarajiwa. Nimemuweka Levert ambaye ni mwanamuziki.Nimekupata ila bila siasa wengi wa hao uliowaorodhesha usingewajua. Tena kina Malcolm X, MLK, Lennon na hata JFK walikuwa wanafanya siasa za kiuharakati kabisa kwa sababu walikuwa wanapigania hali tofauti na ya wakati huo.
Kwa maana nyingine, ujumbe wako ni kimyume na walichokuwa wanafanya. Sijui umenielewa?
mm nakupa urithi wangu wa like nilizokupaKama umeanza kuandika mirathi unisinisahau mimi sky eclat
Nashukuru kwa mawazo yako, ujumbe wangu ni kuondoka duniani mapema kuliko inavyotarajiwa. Nimemuweka Levert ambaye ni mwanamuziki.
Bwana mdogo wa Dar alikataa kupatanishwa na RIP Ruge, alijiona wa maana sana wakati hajui lini pumzi inakata.
Na hata kama ulikuwa unalindwa kama nini.....siku wakikuzika wote wanakuacha unabaki peke yakoNikiwaza kifo mimi uwa nakula nakunywa na nasali .....
Imagine uwa nalala na biblia chini ya mto kiufupi bado sielewi kifo nini......
Uwa wanakutana na nini kule je kuna maisha tena .......
Kiufupi naogopa sana kifo ingekuwepo shule ya kufundisha kifo ningeenda nikakisome.......
Na ndio uwa nawashangaa wanaotaka kutanguliza wenzao wakati wao wanaishi daaah uwa nawashangaa sana ujasiri wanaupata wapi?.......
Imagine unakuwa unalindwa kwa majeshi na kila kitu ila ukifa ni kwenye udongo tu kama chokolaa wa pale Buguruni au teja kinondoni........
Dah Kifo........
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jitu kama Msiba linajitapa wazi kwamba kama angekuwa raisi angemnyonga Lissu na watu wengine wanaoiponda serikaliAkili siku zote zipo mkuu. Ni katika kutafakari tu haya maisha. Kibonde mara nyingi tu tunakutana madisco, maana yake sitamuona tena.
Ile sauti yake na yale masikhara yake ni vitu vilivyobaki kuwa historia.
Mkuu comment yako mpaka Khadija kopa ameiandika masaa matano yaliyopita, Nahisi imechukuliwa hukuMaisha haya ni mafupi,,Ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie,akiumwa kampe pole,akikuomba msamaha samehe.,ukimkumbuka mjulie hali..Usiyape majivuno nafasi,tuna muda mchache duniani...
*Uhai ni zawadi, kifo ni lazima..* huu ujumbe utakusaidia sana kwenye Maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app
HATA Kwenye WhatsApp status ujumbe huu unatembea Sana kwa Kasi kila mtu ka postMkuu comment yako mpaka Khadija kopa ameiandika masaa matano yaliyopita, Nahisi imechukuliwa huku
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji22][emoji22][emoji22]...nimepata hisia kaliMaisha haya ni mafupi,,Ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie,akiumwa kampe pole,akikuomba msamaha samehe.,ukimkumbuka mjulie hali..Usiyape majivuno nafasi,tuna muda mchache duniani...
*Uhai ni zawadi, kifo ni lazima..* huu ujumbe utakusaidia sana kwenye Maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado na kubwa lao msaga saga! Miwaya haimwachagi mtu salama. Chicken are coming home to roost . Meza ARV kadri utakavyo lakini kuna siku nazo zinazidiwa na virusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kifo kinaweza kumpata yeyote hata aliyekuwa na afya si lazima mtu awe mgonjwa hasa kama unaosema wanaotumia Daily kimoko,,,wapo wengi kitaa wana Nagwanda sijaona lakini mpaka leo wandunda furesh wale wazima wanadondokaBado na kubwa lao msaga saga! Miwaya haimwachagi mtu salama. Chicken are coming home to roost . Meza ARV kadri utakavyo lakini kuna siku nazo zinazidiwa na virusi.
Sent using Jamii Forums mobile app