TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Sisi ni dona kantiri halafu mkoa mzima dawa hamna?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P EK.
Lipo la kujifunza kila kifo cha mwanadamu kinapotokea.
 
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAAJIUUN
 
Hongera wewe ambaye huna miwaya, so una guarantee ya kuishi milele.


Semeni nyie..leo humu nimestaajabu mno mno!hvy kwa maisha hayya kuna mtu hajaathirika kwa namna 1 au nyingine na hili gonjwa?kwahyo sasa kila mtu ameungua..aise inakera sana..sijui wanaougua huu ugonjwa wakiona vitu km hv wanJiskiaje..!semen nyie
 
Rafiki yangu Ephrahim, Tulicheza Basketball, Football, Keram, Table Tenis pamoja wote Don Bosco Upanga, Tulikuwa hatukosi kila siku Don Bosco baada ya shule, baada ya ukubwa vijana wote kila mtu aliaanza maisha yake, Tulikuwa tunakoona enzi hizo CTN TV yaani we acha tu
Ulikuwa MC kwenye Harusi yangu mpaka leo nina kumbukumbu hiyo saa hiyo mwenzangu ulishaanza maisha ya majukumu long time Brother
Mungu akulaze mahala pema peponi Amin
Pole kwa Familia, Mungu awatunze watoto wako Inshaalah Amin
 
Semeni nyie..leo humu nimestaajabu mno mno!hvy kwa maisha hayya kuna mtu hajaathirika kwa namna 1 au nyingine na hili gonjwa?kwahyo sasa kila mtu ameungua..aise inakera sana..sijui wanaougua huu ugonjwa wakiona vitu km hv wanJiskiaje..!semen nyie
Ni upungufu tu wa akili wa watu wachache wenye mawazo ugando kuzani kwamba ukimwi ndio gonjwa kubwa sana linalo ua kwa haraka wakisau kwamba kuna kansa na mwngine mengi tu yanayoua haraka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIli ni pigo kubwa kwangu binafsi, machozi hayajakauka kutokana na misiba mingine. Gen X, hakika, ina uchungu na Ma komrade waliotangulia, na hakika hatuta wasahau.
Nenda kwa Amani Kaka wangu.
 
Mbinguni hakunaaa biaaaaaaa, tupo hapa tunakunywa biaaaaaa....Haka kawimbo Gadner na Kibonde alikaimba sana wanapomaliza Jahazi na wakitoka hapo wanaingia kitaa kunywa zao biaaaaaa.....

Dah haya banah!
I hope they were not serious. Maana kufa kama umepatwa na kimeta, bia zinasaidiaje kwa mfano?
 
Pole sana mkuu kwa uchungu unaopitia, ila kuhusu binadamu kufa hiyo ni nature tu, mzungu/mwarabu alijaribu kutuhadaa kuwa kuna maisha baada ya kifo, its just fiction...
 
Pole sana mkuu kwa uchungu unaopitia, ila kuhusu binadamu kufa hiyo ni nature tu, mzungu/mwarabu alijaribu kutuhadaa kuwa kuna maisha baada ya kifo, its just fiction...
Acha kudhihirisha ujinga wako ww, kwani maisha baada ya kifo hayapo?
Yapo sana ila inaegemea kama utaenda kwa shetani au kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…