Kajolijo
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,364
- 4,612
Sisi ni dona kantiri halafu mkoa mzima dawa hamna?GARDNER: TULIPOKWENDA HOSPITAL YA RUFAA MKOANI KAGERA DAWA ALIZOTAKIWA KUMEZA KIBONDE ZILIKOSEKANA "GARDNER
Gardner G habash ameyasema hayo alipohojiwa na kituo cha ITV kua hali ya rafiki yake na mtangazaji mwenzake ephraim kibonde ilibadilika na kuanza kujisikia vibaya walipokua kwenye msiba wa boss wao ruge mkoani kagera.
baada ya kumkimbiza katika hospital ya rufaa wilayani bukoba mkoani hapo dawa alizotakiwa kumeza ili kupata nafuu zilikosekana hospitalini hapo, walizitafuta katika maduka ya dawa bila mafanikio kwani maduka mengi ya dawa mmda huo yalikua yamefungwa..
Ndipo hali yake ikazidi kuwa mbaya wakampeleka mwanza had umauti ulivyomkuta
CHANZO: ITV HABARI 20:00 EAT
Sent using Jamii Forums mobile app