TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Dah, inatisha na kuumiza. Sijui ndugu zetu wa Clouds wanahali gani. Israel alikuwa anatafuta mmoja tangu jana walipopata ajali bahati nzuri hawakupata majeraha makubwa! Leo kaamua kutumia njia tofauti kuondoka na Kibonde. Dah
Nimekumbuka wimbo wao: Mbinguni hakuna bia.... Dah Kibonde leo ni zamu yako kunywa zako bia! Ama kweli maisha haya ni ubatili mtupu!
 
Uhai ni zawadi, kifo ni lazima. Pumzika kwa amani Kibonde[emoji120][emoji120]
 
If Tomorrow Starts Without Me (Saddest Poem Ever)

by Victory414, Apr 7, 2009, 12:19:28 PMJournals / Personal

When tomorrow starts without me,
And I'm not there to see,
If the sun should rise and find your eyes
all filled with tears for me,

I wish so much you wouldn't cry
The way you did today,
While thinking of the many things,
We didn't get to say.

I know how much you love me,
As much as I love you,
and each time that you think of me,
I know you'll miss me too.

But when tomorrow starts without me,
Please try to understand,
That an angel came and called my name,
And took me by the hand,
and said my place was ready,
In heaven far above,
And that I'd have to leave behind
All those I dearly love.

But as I turned to walk away,
A tear fell from my eye
For all my life, I'd always thought,
I didn't want to die.

I had so much to live for,
So much left yet to do,
It seemed almost impossible,
That I was leaving you.

I thought of all the yesterdays
The good ones and the bad,
I thought of all the love we shared,
and all the fun we had

If I could re-live yesterday
Just even for a while,
I'd say good-bye and kiss you
And maybe see you smile.

But then I fully realized,
That this could never be,
For emptiness and memories,
would take the place of me.

And when I thought of worldly things,
I might miss come tomorrow,
I thought of you, and when I did,
My heart was filled with sorrow.

But when I walked through heaven's gates,
I felt so much at home
When God looked down and smiled at me,
From His great golden throne.

He said, "This is eternity,
And all I've promised you."
Today your life on earth is past,
But here life starts anew

I promise no tomorrow,
But today will always last,
And since each day's the same way
There's no longing for the past.

You have been so faithful,
So trusting and so true.
Though there were times
You did some things
You knew you shouldn't do.

But you have been forgiven
And now at last you're free.
So won't you come and take my hand
And share my life with me?

So when tomorrow starts without me,
Don't think we're far apart,
For every time you think of me,
I'm right here, in your heart.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hii poem inasikitisha [emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How do you know that I am happy?Are you pastor Lukau younger brother?
Huyu atakuwa mwagito mpaka anaweza kusoma hisia zako
Ni kutokana na jinsi unavyiandika maneno mtu anaweza kusoma hisia zako, umeandika kana kwamba ni habari ya kufurahisha, jifunze namna ya kuleta habari za misiba, Nimeumizwa na msiba, Pumzika kwa amani Ephraim, umetimiza wajibu wako duniani uliobaki ni wetu, Tangulia.. tunakuja.
 
Clouds inaweza kupitia kipindi kigumu. Hali inayoonekana au inayotokea kwasasa ni hali ya matukio, ambayo inaweza kupelekea Clouds kupita katika kipindi kigumu, kwa kampuni na wafanyakazi wake.

Ifahamike kuwa, Ruge alikuwa kiongozi mkubwa, na alifahamika kama Boss Ruge. Ieleweke vizuri kuwa, hakuna mfanyakazi aliyeko kazini hasiyempenda boss wake. Kila mfanyakazi huwa na tumaini/hisia/mapenzi ya dhati na boss wake, hata kama hawaongei mara kwa mara. Utendaji wa Boss Ruge, ulimgusa kila mfanyakazi wa Clouds, kwa namna moja ama nyingine. Kama watanzania wameguswa kiasi cha juu, inakuwaje kwa wafanyakazi wa clouds?

Ushauri ni huu: Wapate muda wa kupumzika. Katika kipindi hiki cha mapumziko, wapate mtaalamu wa masuala ya Psychology kutokea nje ya kampuni yao ili kuja kuongea na wafanyakazi. Najua kuwa, clouds ina wafanyakazi wenye talent kubwa ya utangazaji, na zaidi wenye uelewa mkubwa sana wa masuala ya kijamii. Ila kwa kipindi hiki, wanahitaji mtu wa nje yao, kuja kuongea nao. Hii itasaidia kuwaongezea kitu kipya ambacho kitawasaidia kuwawezesha kuzidi kuwa na uthubutu wa akili, na uwezo wa mwili kuhimili mikiki ya kazi, hasa kipindi hiki kikiisha. Pia, kuhimili hisia na furaha, hasa kuhamisha mawazo yao kutoka kwa mpendwa wao Ruge, na kujenga upya hisia/furaha zao kwenye maisha yao.

Ruge ameshatangulia mbele za haki, na ameishaimaliza kazi yake hapa duniani.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Clouds. Amen!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah. Nikweli naona tangazo linapita kwenye station ya clouds tv. Maisha ni siri kubwa juu ya kuondoka kwa mtu.

Yatupasa wanadamu wakati mwingine kujua kuna kufu wakati mwingine tunajisahau na kuacha kumwabudu Mwenyezi Mungu na kumpa muda mwingi katika kufanya ibada.

pia kil mwanadam yampasa kuwa na mahusiano mema na wengine. Maana kiburi. Madaha. Majigambo. Chuki gilba. Vyote ni ubatili.
Huu ujumbe uwafikie wakolomije wote
 
Back
Top Bottom