TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Bob Marley alikufa na miaka 36, akiwa bado kijana mbichi kabisa.

Malcom X alikufa na miaka 39 akiwa na mipango mingi tu ya kuleta mabadiliko ya kisiasa kwa wamarekani weusi.

Martin Luther King alikufa na miaka 39 akiamini kwamba yupo tayari kuelekea mbinguni.

John Lennon alikufa na miaka 40, mmoja wa mashabiki wake alimpiga risasi.

Mwanamuziki Gerard Levert mzee wa Cassanova alikufa na miaka 40 baada ya kunywa dawa aina mbili tofauti zilizotengeneza sumu mwilini mwake.

Rajiv Gandhi alikufa na miaka 46, akiwa bado kijana mng'avu na mwenye matumaini mengi tu.

John F Kennedy alikufa na miaka 46, akiamini kuwa uchaguzi wa mwaka 1964 angeweza kushinda na kuiongoza Marekani kwa mihula miwili.

Edward Moringe Sokoine alikufa na miaka 46, akiwa katikati ya vita dhidi ya wahujumu uchumi.

Mjasiriamali Ruge Mutahaba kaondoka duniani na miaka 48 akiwa na mipango mingi mikubwa.

Nahisi Marehemu Ephraim Kibonde ni wa umri huo huo wa Ruge, nae kaondoka na uchangamfu wake maskini!.

Maishani unaweza usifikishe hata miaka 50 kwa mipango ya Mungu, unaweza ukawa na miaka 45 au chini ya hapo lakini kumbe wewe ni "mzee" tayari.

Ujumbe wa hao wote niliowataja na ambao waliaga dunia wakiwa hata hawajaishi nusu karne ni kwamba muda wetu ni mfupi.

Uhairishaji wa mambo (procrastination) wakati hujui kama wewe tayari ni "mzee" kwa mipango ya muumba wetu sio jambo jema.

Kesho hatuijui, kwanini tunapoteza muda kwenye kuendekeza siasa za makundi na upambe na uhasama wakati muda wetu hatujui utaisha lini?.

Vipaji vyetu na tuvitumie kwa ajili ya kuinua maisha yetu binafsi na kuuinua mustakabali mwema wa Tanzania.

Tunajua tumekuja lini duniani lakini hatujui hii sinema yenye mengi iitwayo maisha, itamalizika lini na sehemu gani.

RIP Kaka Kibonde, RIP Kaka Ruge. Siku zetu chini ya jua sio nyingi kama tunavyozipanga katika mipango yetu, dakika ya kufanya masuala ya muhimu ndio hii ya sasa.
Tumwambie Bashite Jiwe kuwa sisi wamadamu ni marehem watarajiwa!!Je tutakumbukwa kuteka kutesa wapinzan wetu kuwabakia kesi,kupanga kupiga risas binadam wenzetu wenye miili ya nyama kama sisi huku sis tukiendelea kutumbua kitumbua cha taifa huku tukivimba raha mstarehe wakati wenzet waliowengi wakiishi maisha ya tabu?Kudharau maswali haya ni kujitangazia ushetani!!
 
Sawasawa. Hivi lile lori lililosababisha ajali ya wafanyakazi wa Clouds waliokuwa wanatoka msibani limekamatwa? Ile inasound a classic case....
 
Halafu karibia wote ulioorodhesha walikuwa wanajihusisha moja kwa moja na siasa na unaweza kusema karibia wote ni siasa ilikuwa sababu ya vifo vyao.

Naona kama umejichanganya kidogo.
 
Bob Marley alikufa na miaka 36, akiwa bado kijana mbichi kabisa.

Malcom X alikufa na miaka 39 akiwa na mipango mingi tu ya kuleta mabadiliko ya kisiasa kwa wamarekani weusi.

Martin Luther King alikufa na miaka 39 akiamini kwamba yupo tayari kuelekea mbinguni.

John Lennon alikufa na miaka 40, mmoja wa mashabiki wake alimpiga risasi.

Mwanamuziki Gerard Levert mzee wa Cassanova alikufa na miaka 40 baada ya kunywa dawa aina mbili tofauti zilizotengeneza sumu mwilini mwake.

Rajiv Gandhi alikufa na miaka 46, akiwa bado kijana mng'avu na mwenye matumaini mengi tu.

John F Kennedy alikufa na miaka 46, akiamini kuwa uchaguzi wa mwaka 1964 angeweza kushinda na kuiongoza Marekani kwa mihula miwili.

Edward Moringe Sokoine alikufa na miaka 46, akiwa katikati ya vita dhidi ya wahujumu uchumi.

Mjasiriamali Ruge Mutahaba kaondoka duniani na miaka 48 akiwa na mipango mingi mikubwa.

Nahisi Marehemu Ephraim Kibonde ni wa umri huo huo wa Ruge, nae kaondoka na uchangamfu wake maskini!.

Maishani unaweza usifikishe hata miaka 50 kwa mipango ya Mungu, unaweza ukawa na miaka 45 au chini ya hapo lakini kumbe wewe ni "mzee" tayari.

Ujumbe wa hao wote niliowataja na ambao waliaga dunia wakiwa hata hawajaishi nusu karne ni kwamba muda wetu ni mfupi.

Uhairishaji wa mambo (procrastination) wakati hujui kama wewe tayari ni "mzee" kwa mipango ya muumba wetu sio jambo jema.

Kesho hatuijui, kwanini tunapoteza muda kwenye kuendekeza siasa za makundi na upambe na uhasama wakati muda wetu hatujui utaisha lini?.

Vipaji vyetu na tuvitumie kwa ajili ya kuinua maisha yetu binafsi na kuuinua mustakabali mwema wa Tanzania.

Tunajua tumekuja lini duniani lakini hatujui hii sinema yenye mengi iitwayo maisha, itamalizika lini na sehemu gani.

RIP Kaka Kibonde, RIP Kaka Ruge. Siku zetu chini ya jua sio nyingi kama tunavyozipanga katika mipango yetu, dakika ya kufanya masuala ya muhimu ndio hii ya sasa.
Haya maneno waandikiwe wana-CCM kwenye brochures nyingi wagawiwe wasome,waelewe na wayaishi maneno hayo.
 
Nikiwaza kifo mimi uwa nakula nakunywa na nasali .....

Imagine uwa nalala na biblia chini ya mto kiufupi bado sielewi kifo nini......

Uwa wanakutana na nini kule je kuna maisha tena .......

Kiufupi naogopa sana kifo ingekuwepo shule ya kufundisha kifo ningeenda nikakisome.......

Na ndio uwa nawashangaa wanaotaka kutanguliza wenzao wakati wao wanaishi daaah uwa nawashangaa sana ujasiri wanaupata wapi?.......

Imagine unakuwa unalindwa kwa majeshi na kila kitu ila ukifa ni kwenye udongo tu kama chokolaa wa pale Buguruni au teja kinondoni........

Dah Kifo........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli vifo kama hiv hutukumbusha maisha yetu ni mafup sana hapa dunian tujitahd kuish kwa wema.

Tusidharau kufanya kheri hata kama tunaiona ni ndogo kiasi gani na tuache kutenda ubaya hata kama ubaya huo kwenye macho yetu tunauona mdogo.

Kifo ni mawaidha kwa wale wenye imani.
 
Bob Marley alikufa na miaka 36, akiwa bado kijana mbichi kabisa.

Malcom X alikufa na miaka 39 akiwa na mipango mingi tu ya kuleta mabadiliko ya kisiasa kwa wamarekani weusi.

Martin Luther King alikufa na miaka 39 akiamini kwamba yupo tayari kuelekea mbinguni.

John Lennon alikufa na miaka 40, mmoja wa mashabiki wake alimpiga risasi.

Mwanamuziki Gerard Levert mzee wa Cassanova alikufa na miaka 40 baada ya kunywa dawa aina mbili tofauti zilizotengeneza sumu mwilini mwake.

Rajiv Gandhi alikufa na miaka 46, akiwa bado kijana mng'avu na mwenye matumaini mengi tu.

John F Kennedy alikufa na miaka 46, akiamini kuwa uchaguzi wa mwaka 1964 angeweza kushinda na kuiongoza Marekani kwa mihula miwili.

Edward Moringe Sokoine alikufa na miaka 46, akiwa katikati ya vita dhidi ya wahujumu uchumi.

Mjasiriamali Ruge Mutahaba kaondoka duniani na miaka 48 akiwa na mipango mingi mikubwa.

Nahisi Marehemu Ephraim Kibonde ni wa umri huo huo wa Ruge, nae kaondoka na uchangamfu wake maskini!.

Maishani unaweza usifikishe hata miaka 50 kwa mipango ya Mungu, unaweza ukawa na miaka 45 au chini ya hapo lakini kumbe wewe ni "mzee" tayari.

Ujumbe wa hao wote niliowataja na ambao waliaga dunia wakiwa hata hawajaishi nusu karne ni kwamba muda wetu ni mfupi.

Uhairishaji wa mambo (procrastination) wakati hujui kama wewe tayari ni "mzee" kwa mipango ya muumba wetu sio jambo jema.

Kesho hatuijui, kwanini tunapoteza muda kwenye kuendekeza siasa za makundi na upambe na uhasama wakati muda wetu hatujui utaisha lini?.

Vipaji vyetu na tuvitumie kwa ajili ya kuinua maisha yetu binafsi na kuuinua mustakabali mwema wa Tanzania.

Tunajua tumekuja lini duniani lakini hatujui hii sinema yenye mengi iitwayo maisha, itamalizika lini na sehemu gani.

RIP Kaka Kibonde, RIP Kaka Ruge. Siku zetu chini ya jua sio nyingi kama tunavyozipanga katika mipango yetu, dakika ya kufanya masuala ya muhimu ndio hii ya sasa.
Akili zimeanza kuwarudi.

Wanaodhani wataishi milele kwa vile wamepewa madaraka wanatakiwa wajifunze kwa hivi vifo, hakuna aijuae kesho, Kibonde alipanda ndege akiwa mzima mwenye afya karudi ndani ya sanduku.

CCM; Jiwe, Bashite.
 
Halafu karibia wote ulioorodhesha walikuwa wanajihusisha moja kwa moja na siasa na unaweza kusema karibia wote ni siasa ilikuwa sababu ya vifo vyao.

Naona kama umejichanganya kidogo.
Ujumbe wangu ni watu kuondoka wakiwa bado vijana. Hao wote niliowataja wameacha historia licha ya kutofikisha hata nusu karne.
 
Akili zimeanza kuwarudi.

Wanaodhani wataishi milele kwa vile wamepewa madaraka wanatakiwa wajifunze kwa hivi vifo, hakuna aijuae kesho, Kibonde alipanda ndege akiwa mzima mwenye afya karudi ndani ya sanduku.

CCM; Jiwe, Bashite.
Akili siku zote zipo mkuu. Ni katika kutafakari tu haya maisha. Kibonde mara nyingi tu tunakutana madisco, maana yake sitamuona tena.

Ile sauti yake na yale masikhara yake ni vitu vilivyobaki kuwa historia.
 
Back
Top Bottom