Mtangazaji wa Clouds Harris Kapiga ameacha kazi?

Mwanamme kufuatilia maisha ya watu ni dalili ya ugonjwa uitwao "Delicious Syndrome "
 
Hajaacha kazi yupo on leave
 
Huko znz sasa ndo atarudi na mume kabisaa.. maana mtu mwenyewe yulee ni kama yupo tayari tayari tu anasubiri kuambiwa toa atoe!!
 
Wewe ni ke au me??
 
Jinga kabisa.
Mtu mmoja kuacha kazi unaileta humu ndani.

Migodini wameachishwa maelfu na stahiki zao bado hawajapewa afu unaongea mashudu tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…