GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Hawa watangazaji wote ni yanga damu kwa mujibu wake..kwani yule juma nkamia alikuaga timu gani vile,nadhani alikua anafurahia utangazaji wake!!
Nafikiri jf ingekuwepo kipindi cha utangazaji wa ezekiel malongo ungeleta uzi wako wa kumkandia hapaTafadhali acha na ukome kumfananisha Mtangazaji nguli na asiye wa mfano wa Michezo Juma Nkamia na hizo ' takataka ' zako zingine sawa? Ni Watangazaji watatu ( 3 ) hapa nchini Tanzania ambao ndiyo Watangazaji wenu wa sasa wa michezo na mipira ndiyo wanawaiga nao ni:
Watoto mliokuwa juzi tu historia hizi za ' kutukuka ' kabisa hamuwezi kuzijua kwani nina uhakika kipindi hicho cha hao ' Watangazaji ' wengi wenu mlikuwa katika Mabeseni mnaoga huku mnanyweshwa uji kama siyo hata kutawazwa ' Nnya ' zenu.
- Ahmed Jongo
- Charles Hillary
- Juma Nkamia
Oya mbona sikupati now daysTafadhali acha na ukome kumfananisha Mtangazaji nguli na asiye wa mfano wa Michezo Juma Nkamia na hizo ' takataka ' zako zingine sawa? Ni Watangazaji watatu ( 3 ) hapa nchini Tanzania ambao ndiyo Watangazaji wenu wa sasa wa michezo na mipira ndiyo wanawaiga nao ni:
Watoto mliokuwa juzi tu historia hizi za ' kutukuka ' kabisa hamuwezi kuzijua kwani nina uhakika kipindi hicho cha hao ' Watangazaji ' wengi wenu mlikuwa katika Mabeseni mnaoga huku mnanyweshwa uji kama siyo hata kutawazwa ' Nnya ' zenu.
- Ahmed Jongo
- Charles Hillary
- Juma Nkamia
huyu jamaa ni mjuaji sana tena sana yeye hyjiona ana akili sana na ana ujuzi wa kila jambo na kila tasnia... kila siku ana watukana watangazajiAna gubu sana hyu jamaa nasi tumemvumilia vya kutosha pia asijione bingwa wa kuvumilia wenzie!
Oya mbona sikupati now days
huyu jamaa ni mjuaji sana tena sana yeye hyjiona ana akili sana na ana ujuzi wa kila jambo na kila tasnia... kila siku ana watukana watangazaji
habari za michezo zinatangazwa kwenye radio station nyingi sio lazima kumsikiliza kitenge
Tuache tunaopendezwa na utangazaji wake wewe hamia kwingine
Nambari 9 mgongoni Maulid Baraka wa Kitenge, piga kazi.Mfikishieni taarifa hii kuwa tumemchoka na karibuni sasa sisi anaotuumiza uvumilivu dhidi yake utafikia ' Kikomo '.
Nawasilisha.