Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

Watawala wa ccm wanataka kusikia wakipendacho na sio kitokeacho
 
Pascal Mayalla and other like minded Tanzania Journalists you have something very important to do in your industry! CAPACITY BUILDING & MENTORSHIP!

Tanzania has got very poor and worthless media industry particularly on Journalists!

I sometimes lough at myself after having listen from Prof.Mutahi Ngunyi and his "kids" at their Fort Hall School of Good Governance or presenters from Citizen TV, K24 ,NTV etc and compare to Journalists here at Home!

It will take us several decades to reach where our fellow Kenyans are today!

These poor Journalists we have here in Tanzania are the ones who entertain these short sighted politicians in our political arena!

Pascal Mayalla, Deodatus Balile,Manyerere Jackton and other serious Journalists you have to do something if you want this industry to mean something in this Country!!
Mkuu Fumadilu Kalimanzila , thanks for this, usemacho ni kweli, we have to do something.
P
 
It's very painful!, most media correspondences ni deiwaka!.
Hili nililijua baada ya kifo cha Daudi Mwangosi wa Channel Ten.

P
Ulichelewa sana kulijua hili. Seems wewe ulikuwa na Mkataba those days.

Hawa “reporters” ni deiwaka tu. Wenyewe eti wanajiita “freelance journalists” huku wakinyonywa left, right & center
 
Mabere Makubi alifukuzwa na ITV baada ya kuripoti Habari ya maandamano ya machinga Mwanza.

Alishinikizwa kwenda Kwenye vyombo vya HABARI kuomba radhi.

Akatumwa MTU ITV kwenda kushinikiza afukuzwe kazi.

Familia yake ikaanza kuteseka na akaanza kuombaomba huku waliomfanyia huu unyama wakiwa wanakula Idd na Pasaka na familia zao.

Waandishi wenzake wamemtenga, Nyanda anatumia akaunti yake ya Instagram kuzidi kumchafua akidhani anamsaidia.

Anamwandika as if anamwombea msamaha kumbe indirect anamzalilisha nakutumika na system kuonyesha kwamba serikali inaweza kukufanya chochote.

Taarifa hizi nimezifikisha Kwa mdau wa masuala ya Habari nchi jirani, anafuatilia CV yake aone kama anaweza kumpa kazi ya reporter kutokea Tanzania. Wakiona CV inafaa watamchukua.

Nimeshauriana pia na wenzetu waandishi wa Habari ana wamiliki binafsi , wanaangalia namna ya kumsaudia Mzee wetu huyu aweze kuendeleza taaluma yake.

Lakini hii inatufundisha kwamba hakuna solidarity miongoni mwawana Habari. Kila Siku wanateseka lakini ukifuatilia hotuba Yao Leo is as if Kila kitu kipo sawa.

Wakati huo huo wapo mawakili wanafuatilia namna ya kuchukua hatua endapo ITV walikiuka taratibu za ajira

Tumsaidie mwenzetu; tuungane. Imeandikwa na F.T.F,
NAUNGA MKONO HOJA KAMA HAKUTENDEWA HAKI TUPAZE SAUTI ATENDEWE HAKI.INALETA SHIDA SANA MTU ALIYEZOEA KUISHI KWA TALUMA YAKE KUISHI NJE YA TAALUMA GHAFLA.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, TBC sikuondoka kwa kutaka, niliondoshwa kwa kosa la insubordination. Naomba nisiingie in details, ila kiukweli kabisa mimi ndiye mkosoaji.
P
Insubordination yako hata usipoitaja. Tunakufatilia tunaweza ihisi tu.
Mana tabia ya mtu ina m-define mtu.
Kwako insubordination hiyo sidhan kama ilikua ya kwanza.na haitakua ya mwisho
 
Ulichelewa sana kulijua hili. Seems wewe ulikuwa na Mkataba those days.

Hawa “reporters” ni deiwaka tu. Wenyewe eti wanajiita “freelance journalists” huku wakinyonywa left, right & center
Niliingia media 1990 kwa kuajiriwa RTD,
1995 nikahamia DTV. 1999 nikaitwa kuanzisha TVT, from ,2005 to date nimekuwa freelance journalist.

Hili la freelancing ni kunyonywa sio kweli, market ya journalism imekuwa saturated na waandishi wengi wasio na kazi, hivyo ili kupata kazi, mwandishi unakuwa uko tayari kujishikisha popote hata bure, kule kushika tuu mic, na kuropoti " Kutoka hapa Mwanza, Kanda ya Ziwa, yenye samaki watamu Sato, mimi ni Mabere Makubi wa ITV" ni dili tosha hata bila mshahara, tule tu little brown nanilius, tunatosha kuendeshea maisha.
P
 
Baada ya ndoa ya Kikristu kanisani, niliposema Bible kwa makini, nikagundua kumbe ndoa ya mke mmoja sio mpango wa Mungu!, hakuna popote ndani ya Bible Mungu kazuia ndoa za wake wengi, ni scheme tuu za wazungu, wenzetu hawana nguvu za mitala hivyo kulazimisha mke mmoja.
Aisee!
Mtumishi mama D, maoni yako juu ya hili tafadhali 😊
 
Samahani mzee hivi hili la mwangosi liliishaje??
Wale askari walihukumiwa zuga mambo yakaishia hapo.
P
 
Back
Top Bottom