Duh...!
Media, hatukunyamaza, media zote tuliandika, uwezo wetu ni kuandika tuu. hatuna kitu kingine chochote cha kufanya zaidi ya kuandika, au ulitaka tufanye nini?. Baada kifo cha Daudi Mwangosi, media tukataka kususia habari za polisi lakini tulishindwa, na RC wa DSM, Paul Makonda alipovamia Clouds, TEF ikatuhamssishe tususie habari za Makonda, tulishindwa!.
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.
ulitaka tufanyeje,?
Hapa labda utueleweshe.
Naomba tufafanulie
Hii ni tuhuma nzito!. Thibitisha!.
Hii ni tuhuma nzito, Thibitisha!
Duh...!, hii ni tuhuma nzito sana!, Thibitisha kwa wale uliowasindikiza kwa waganga, wale uliowashikia miguu wakati wanalalwa, na kuambukizwa HIV na hao waliowalala na kisha ukawashikia tena miguu wakati wakiwabukiza HIV wenzao mbalimbali katika vyombo vya habari tofauti tofauti!.
Duh...!, kama hakuna media nchini, jee hii media iliyopo na tunayoita ni media ya Tanzania ni nini?!.
P