Mtangazaji wa kike Azam Tv habari za michezo ananikosha sana

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
973
Kuna huyu 'ukti' mdada anasoma habari za michezo baada ya taarifa ya habari AZAM TWO huyu dada ananikosha sana, anatangaza vizuri sana utangazaji wake naufananisha na ule wa ZUHURA YUNUS wa BBC SWAHILI na hata sauti zao zinafanana. kiukweli anatulia, ana pause, na anajua azungumze kitu gan plus mbwembwe za kimichezo, kwa anayemfahamu amfikishie ujumbe kuwa yuko poa sana na segment hyo ya michezo anaipatia.

 
dah picha yake nimeshindwa kuipata ngoja naitafuta maktaba
 
CHIK
mkuu ni huyo huyo, dah umepatia yaani anatangaza vizuri sana, kipaji anacho kiukweli
CHIKAWE-atakuwa mmwera wa Nachingwea wanajua mambo yetu hao hataariiiii
 
Ukhti..
 
hahaaaaa mkuu ni nshakula mmwera mmoja usipokuwa makini ndoa inakushinda
Wana mauno kitandani hao, si mchezo kiuno feni. Kiwanda cha dangote kikianza kusupply tena cement nitaenda tena huku, kwa kina Chinga One
 
bila shaka wewe ni mswahilina nenda kawatafute mbona wote hao sura mbovuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…