Ufoo saro sijamfuatilia sana utangazaji wake. Hata hivyo angekuwa anatangaza taarifa ya habari ndio angeonekana zaidi
Kule TBCCM kuna nani?
Huwa si mpenzi sana wa kuangalia taarifa ya habari star tv mara kwa mara isipokuwa ni pale kwenye taarifa zao za kimataifa ambazo huchanganuliwa vizuri. Pia huwa napenda sana kuangalia kipindi cha Dira ya dunia ambacho hurushwa na kituo hiki.
Kwa kipindi chote nachoangalia star tv nimekuwa navutiwa sana na utangazaji wa mrembo huyu Ivona Kamuntu. Kwa kweli napenda anavyotangaza kwa weredi wa hali ya juu na kwa tabasamu bashasha.
Napenda pia sauti zake wakati akitangaza na mavazi mazuri yanayofanya apendezeshe Sonny LCD tv yangu. Vyote hivi nadhani vinachangiwa na reception nzuri aliyokuwa nayo.
Keep it up Ivona! Je wewe huvutiwa na mtangazaji gani wa kike/kiume kwa local tv?
ivona kamuntu - Google Search
Pale STAR TV aliwahi kuwepo dada matat sana anaitwa Johan Tanisa, mtoto alikuwa mwororo sana yule sijui kenda wapi, nilijaribu kumtafuta sana mwanza bila mafanikio
Naungana nawe kumtafuta popote pale alipo!
Ukimuona ni PM aliusumbua moyo wangu sana huyu raia
Huwa si mpenzi sana wa kuangalia taarifa ya habari star tv mara kwa mara isipokuwa ni pale kwenye taarifa zao za kimataifa ambazo huchanganuliwa vizuri. Pia huwa napenda sana kuangalia kipindi cha Dira ya dunia ambacho hurushwa na kituo hiki.
Kwa kipindi chote nachoangalia star tv nimekuwa navutiwa sana na utangazaji wa mrembo huyu Ivona Kamuntu. Kwa kweli napenda anavyotangaza kwa weredi wa hali ya juu na kwa tabasamu bashasha.
Napenda pia sauti zake wakati akitangaza na mavazi mazuri yanayofanya apendezeshe Sonny LCD tv yangu. Vyote hivi nadhani vinachangiwa na reception nzuri aliyokuwa nayo.
Keep it up Ivona! Je wewe huvutiwa na mtangazaji gani wa kike/kiume kwa local tv?
ivona kamuntu - Google Search
By Trance M
Huwa si mpenzi sana wa kuangalia taarifa ya habari star tv mara kwa mara isipokuwa ni pale kwenye taarifa zao za kimataifa ambazo huchanganuliwa vizuri. Pia huwa napenda sana kuangalia kipindi cha Dira ya dunia ambacho hurushwa na kituo hiki.
Kwa kipindi chote nachoangalia star tv nimekuwa navutiwa sana na utangazaji wa mrembo huyu Ivona Kamuntu. Kwa kweli napenda anavyotangaza kwa weredi wa hali ya juu na kwa tabasamu bashasha.
Napenda pia sauti zake wakati akitangaza na mavazi mazuri yanayofanya apendezeshe Sonny LCD tv yangu. Vyote hivi nadhani vinachangiwa na reception nzuri aliyokuwa nayo.
Keep it up Ivona! Je wewe huvutiwa na mtangazaji gani wa kike/kiume kwa local tv?
ivona kamuntu - Google Search
Pale STAR TV aliwahi kuwepo dada matat sana anaitwa Johan Tanisa, mtoto alikuwa mwororo sana yule sijui kenda wapi, nilijaribu kumtafuta sana mwanza bila mafanikio
Yaani huyo Ivona simpendi to be honest. Kweli uzuri uko machoni pa mtu coz huo uzuri sihuoni hapo.
Simpendi coz namwona kama Wolper ivi..ongea flani fake wenyewe mmeibatiza jina eti confidence, ana swaga flan ivi I guess kuna mtangazaji anamuadmire sa anajaribu kupaste xter..kwanza mara anakosea kosea. Anantibua...pritenda mkubwa
Kuna mtu yuko close nae aniunganishe?
Pale STAR TV aliwahi kuwepo dada matat sana anaitwa Johan Tanisa, mtoto alikuwa mwororo sana yule sijui kenda wapi, nilijaribu kumtafuta sana mwanza bila mafanikio
Yaani huyo Ivona simpendi to be honest. Kweli uzuri uko machoni pa mtu coz huo uzuri sihuoni hapo.
Simpendi coz namwona kama Wolper ivi..ongea flani fake wenyewe mmeibatiza jina eti confidence, ana swaga flan ivi I guess kuna mtangazaji anamuadmire sa anajaribu kupaste xter..kwanza mara anakosea kosea. Anantibua...pritenda mkubwa
Joan Itanisa yupo hapahapa Mwanza PhD
Yaani huyo Ivona simpendi to be honest. Kweli uzuri uko machoni pa mtu coz huo uzuri sihuoni hapo.
Simpendi coz namwona kama Wolper ivi..ongea flani fake wenyewe mmeibatiza jina eti confidence, ana swaga flan ivi I guess kuna mtangazaji anamuadmire sa anajaribu kupaste xter..kwanza mara anakosea kosea. Anantibua...pritenda mkubwa