Mtangazaji wa kike nimpendaye; Ivona Kamuntu wa star tv

Babavichaa hamuishi vituko, kuna wakati ilikuja uzi kama huu wengi mkampondaaaaaa..

Kwa kuwa tu amemuinterview lisu basi ni mzuriiiiiiiiiii...
 
Siku ya besi dey ya Mandela "angalieni makala niliyoandaa mimi mwenyewe Ivona"

Sasa sijui amegundua asiposema mwenyewe credit zinaenda kwa kina Baragaza..........
 

Pale STAR TV aliwahi kuwepo dada matat sana anaitwa Johan Tanisa, mtoto alikuwa mwororo sana yule sijui kenda wapi, nilijaribu kumtafuta sana mwanza bila mafanikio
 
Pale STAR TV aliwahi kuwepo dada matat sana anaitwa Johan Tanisa, mtoto alikuwa mwororo sana yule sijui kenda wapi, nilijaribu kumtafuta sana mwanza bila mafanikio

Naungana nawe kumtafuta popote pale alipo!
 
Kwakweli binafsi pia namkubali Ivona na ukimtazama unaona kabisa yupo ngazi nyingine tofauti na wenzake nafkr ana fursa kubwa sana huko mbele
 
REgina Mwalekwa...
 

Teh teh funguka mzee
 
Yaani huyo Ivona simpendi to be honest. Kweli uzuri uko machoni pa mtu coz huo uzuri sihuoni hapo.
Simpendi coz namwona kama Wolper ivi..ongea flani fake wenyewe mmeibatiza jina eti confidence, ana swaga flan ivi I guess kuna mtangazaji anamuadmire sa anajaribu kupaste xter..kwanza mara anakosea kosea. Anantibua...pritenda mkubwa
 

yah,nakubaliana na ww mkuu.anaboa sana huyu mtangazaji kwa mipozi yake ya ajabu ajabu.mie ananiboa sana anapotangaza utafikiri anatongozwa.mipozi halafu anajishaua kwa kuvuta sauti utafikiri yupo na hanjumati wake.pia huwa anakosea kosea maneno utadhani hajui kusoma.kwa kifupi hana lolite la kusifiwa.
 
Joan Itanisa yupo hapahapa Mwanza PhD


Pale STAR TV aliwahi kuwepo dada matat sana anaitwa Johan Tanisa, mtoto alikuwa mwororo sana yule sijui kenda wapi, nilijaribu kumtafuta sana mwanza bila mafanikio
 

Teh kila mtu ana hisia zake na kila mtu anaguswa kivyake na huyu mtangazaji. Msua1 Unampenda mtangazaji gani wa tv hapa Bongo?
 
Last edited by a moderator:

Uko sawa kabisa,huyu mtangazaji anafake kuongea hayuko real na hata kuna wakati alikuwa akijaribu kuweka mapoz ya kukaa kama kikeke! Akiacha kufeki ni mtangazaji mzuri,binafsi nampenda sana Magreth Cosmas wa ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…