Mtangazaji wa kike nimpendaye; Ivona Kamuntu wa star tv

Mtangazaji wa kike nimpendaye; Ivona Kamuntu wa star tv

Mkuu TCleverly nilimaanisha sony lcd tv. Nakushauri na wewe nunua lcd/led tv ufurahie maisha si unajua tena maisha yenyewe mafupi. Badilika mkuu ili uenjoy vipindi mbalimbali kwenye luninga yako.

nashukuru kaka ngoja nizichange si unajua mshahara wenyewe laki 1 na nusu....
 
yupo vizur huyo dada.......katulia......vipi ufoo jamani wa ITV,teh teh
 
yupo vizur huyo dada.......katulia......vipi ufoo jamani wa ITV,teh teh

Ufoo saro sijamfuatilia sana utangazaji wake. Hata hivyo angekuwa anatangaza taarifa ya habari ndio angeonekana zaidi
 
Sijabahatika kukutana na Magreth Cosmas akitangaza. Huwa anatangaza vipindi gani?

Ok! yupo Itv na huwa anatangaza taarifa za habari za biashara sasa ukitaka kumfuatilia sana hata kwenye malumbano ya hoja yupo sana tuache unafiki yule kazaliwa na sauti ya kutangaza hata kama kuna watu huwa wanasema kazi mpaka labda mtu atoe kitu kidogo..sasa kwa huyo dada sauti yake tu kwake ndo kitu kidogo yaani inambeba!(kiutangazaji)
 
yupo vizur huyo dada.......katulia......vipi ufoo jamani wa ITV,teh teh

UFOO SARO! jina kwanza zuri halafu anajua ila hapa kama umwelewa mtoa mada amesema ampendae ila sisi tunaochangia ndo either kumsapot au na sisi tuseme nani tunampenda kulingana na mtu mwenyewe!tukirudi kwa UFOO ni kwamba ni mchapa kazi yaani kazi za mwanaume mpe tu yule dada ataenda na hata yanapotokea mabomu uwanjani kwenye mikutano ya cha..... unaambiwa ana mbio Usain Bolt kasingiziwa ..tuna vipaji basi tu!
 
Ok! yupo Itv na huwa anatangaza taarifa za habari za biashara sasa ukitaka kumfuatilia sana hata kwenye malumbano ya hoja yupo sana tuache unafiki yule kazaliwa na sauti ya kutangaza hata kama kuna watu huwa wanasema kazi mpaka labda mtu atoe kitu kidogo..sasa kwa huyo dada sauti yake tu kwake ndo kitu kidogo yaani inambeba!(kiutangazaji)

Nitatenga mda nimfatilie utangazaji wake
 
UFOO SARO! jina kwanza zuri halafu anajua ila hapa kama umwelewa mtoa mada amesema ampendae ila sisi tunaochangia ndo either kumsapot au na sisi tuseme nani tunampenda kulingana na mtu mwenyewe!tukirudi kwa UFOO ni kwamba ni mchapa kazi yaani kazi za mwanaume mpe tu yule dada ataenda na hata yanapotokea mabomu uwanjani kwenye mikutano ya cha..... unaambiwa ana mbio Usain Bolt kasingiziwa ..tuna vipaji basi tu!

Umenifurahisha sana teh teh kwamba Ussein Bolt kasingiziwa.. Teh
 
UFOO SARO! jina kwanza zuri halafu anajua ila hapa kama umwelewa mtoa mada amesema ampendae ila sisi tunaochangia ndo either kumsapot au na sisi tuseme nani tunampenda kulingana na mtu mwenyewe!tukirudi kwa UFOO ni kwamba ni mchapa kazi yaani kazi za mwanaume mpe tu yule dada ataenda na hata yanapotokea mabomu uwanjani kwenye mikutano ya cha..... unaambiwa ana mbio Usain Bolt kasingiziwa ..tuna vipaji basi tu!

Mwache apige kazi....teh teh teh
 
sasa dogo naona kuishi uraian umechoka kama unataka ukapige drum na solo na akina papii kule gerexan jitie uchixi tuuu
 
Back
Top Bottom