Mtangazaji wa kituo cha Citizen TV, Swaleh Mdoe ametangaza kuuza figo ili aweze kulipa madeni yanayomkabili

Mjue mwanahabari na muandishi wa vitabu kadhaa: Salehi Mdoe: toka kuwa mwandishi wa gazeti la chama tawala KANU la Kenya times, pia gazeti la the standard, kisha kujiunga na BBC African service London, kurejea tv ya ntv nation ....mpaka mhariri mkuu, makala zake ktk gazeti la Express Tanzania, citizen tv Kenya ....nchini Kenya watu hawapendi kujisomea vitabu, wanapenda habari za udaku. ..

 
Unamaanisha mliambiwa trela za Tz zinawasomba mkachunwe ngozi, issue za uchunaji ngozi mlizisikia?
Ilikuwa balaaa mbaba.
 
Unamaanisha mliambiwa trela za Tz zinawasomba mkachunwe ngozi, issue za uchunaji ngozi mlizisikia?
Ilikuwa balaaa mbaba.
Kweli jombaa, hiyo ndo ilikuwa 'monkey under the bed' kwangu nikiwa darasa la kwanza na shule ya chekechea. Ilinitisha si mchezo! Yaani kuvuka barabara wakati naenda au kutoka shuleni ilikuwa ni kama movie ya horror. Trela ikisimama karibu na anga zangu, nduki, hata sikujali kama natoroka nikielekea shuleni, wakati wa kurudi nyumbani, au ndo nelekea home wakati ni asubuhi tu! Tulikuwa tunaambiwa hao jamaa wa trela wakikudaka tu, wewe kwishney! Unajipata Tz bila ngozi. 😀😀 Hayo mambo yalitufikia sisi ambao tulikuwa tunaishi karibu na mpaka wa Tz. Hehehe, 😀😀😀 dah, miaka inasonga kwa kasi sana!
 
Aisee ni hatari sana.Kuna haja ya wadau kudonate chochote kabla Bw.Mdoe hajafikia maamuzi hayo.
 
Tusisikitike maana figo anayo toa inakwenda kuokoa maisha ya MTU fulani
 
Dah pole sana, never give up believe you will find another root of solving your problem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…