Mtangazaji wa Michezo Clouds FM Kipindi cha Sports Extra, Prisca Kishamba Wewe 24/7 anayekutumia Meseji Kipindini ni Mfungo Patrick wa Zimbabwe pekee?

Mtangazaji wa Michezo Clouds FM Kipindi cha Sports Extra, Prisca Kishamba Wewe 24/7 anayekutumia Meseji Kipindini ni Mfungo Patrick wa Zimbabwe pekee?

Mbona Prisca anatafunwa na yule waziri mwenye ngozi ya mbaka mabaka

Kausha Ndugu usimtaje tafadhali kwani hata Mimi namjua na nalijua hilo tena kwa 100% kabisa ila sijataka Kumuweka wazi hapa. Namuheshimu.
 
Waziri aliyepewa sumu enzi za JK au siyo! Wadau mna nyeti balaa!! Lakini tuliambiwa na kipande cha mti,kua Waziri ni grid ya taifa!!!

Tunaompenda huyo Binti ( Dada ) tulipoona tu huyo Waziri anamtaka tulimshika Masikio asiwe nae ila akatudharau na sasa ameshayavagaa mno.
 
Ila acheni tu huyo Dada Leo awe na Maisha mazuri na Kutiwa ( Kunyiriwa ) hivyo na huyo Waziri kwani nikiweka hapa Historia yake wengi mtalia.
😢😢😢😭😭
 
Tunaompenda huyo Binti ( Dada ) tulipoona tu huyo Waziri anamtaka tulimshika Masikio asiwe nae ila akatudharau na sasa ameshayavagaa mno.
Mzee wa degree 4 hivi hana ngoma kweli yule
 
Huyo hutuma ujumbe mapema kabla ya wote.

Umenikumbusha zamani RTD kwenye kipindi cha mchana mwema ilikuwa ni lazima barua ya kwanza kusomwa Aloyisia Maneno iwe ni ya Mayage S Mayage wa Mauta Newala.

Kama sikosei.

Prisca anapenda ushiriki wa wasikilizaji wa mbali.

🙂
Mara nyingine unakuta wamezoeana Hadi kubadilishana mawasiliano binafsi ukiachana na Ile namba inayotumika na public hivyo ni rahisi ujumbe wake kuonekana kuliko wale wanaotumia namba ya public.
 
Wajadi fundi au mwite binaadamu mashaka wa mahuta shimoni huyu jamaa hata huyo uliyemtaja anasubiri kwa huyu😂
Kabisa afu Kuna kata mwivi lwambano wa chabela camp dodoma ..dah yani jamaa walikua kila day
 
Ila acheni tu huyo Dada Leo awe na Maisha mazuri na Kutiwa ( Kunyiriwa ) hivyo na huyo Waziri kwani nikiweka hapa Historia yake wengi mtalia.
Mpaka Sasa bado ana Hali Mbaya Sana
 
Yaani sasa mpaka Wasikilizaji wako huwa tunabeti kwamba ni lazima tu ukiwa katika Zamu ya Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM basi mwishoni ukiwa unasoma Meseji za Wasikilizaji wako ni lazima tu utamsoma Mfungo Patrick kutoka Harare Zimbabwe. Ina maana huyu Mfungo Patrick ndiyo Msikilizaji wako pekee kiasi kwamba kila Siku lazima umsome Yeye tu? Unatuboa!
Miaka ya nyuma nikiwa Arusha, radio sauti ya injili walikuwa wanapenda kumtaja mzee zakaria ndemfoo, ino wa ino, David Urassa, na mathayo shoo hayo yalikua majina makuu , kwahiyo simshangai Prisca
 
Huyo hutuma ujumbe mapema kabla ya wote.

Umenikumbusha zamani RTD kwenye kipindi cha mchana mwema ilikuwa ni lazima barua ya kwanza kusomwa Aloyisia Maneno iwe ni ya Mayage S Mayage wa Mauta Newala.

Kama sikosei.

Prisca anapenda ushiriki wa wasikilizaji wa mbali.

🙂
Au kulikuwa kuna mtu anajiita Wajada fundi Wajadi Binadamu Mashaka.
 
Back
Top Bottom