Mtangazaji wa Michezo Wasafi FM Maulid Kitenge, Kuzurura kote Ulaya na Marekani bado tu Kiingereza kinakutesa?

Yaonekana zile safari zake za kwenda ughaibuni kila uchwao zinakutesa sana mtoa uzi, pambana nawe uende kama ni ndoto yako ama mfuate akujuze njia zake nawe uyaishi hayo.
Mtoa uzi ana chuki binafsi
 
Vilaza wenzake wamemtetea kwa povu jingi sana.
 
Mimi niliguna nikajua nimesikia peke yangu.....
Hivi vitengo vingine inabidi wahusika wawe wanajiongezea sana hata kwa mazoezi ya mara kwa mara upande wa grammar ,pia tatizo hili huwakuta hawa ndg zetu askari traffic pale wanaposimamisha gari ya mgeni ambaye kiswahili kwake ni zero
 
Kijola una miaka zaidi ya ishirini kwenye uandishi wa habari na utangazaji lakini lugha ya mawasiliano kimataifa inakupiga chenga,nenda hata kwa Ras Simba, utaibeba aibu hii hadi lini?
Anachokijua Mtangazaji Maulid Kitenge ni kwenda huko Majuu ( Ulaya na Marekani ) huku akipiga Picha akiwa katika Mighahawa na Kujiegesha katika Gari za Kifahari hi huku kila akiunganishwa na Wenzake wa Mbezi Beach utamsikia ' naripoti nikiwa hapa Washington DC Marekani ' wakati pamoja na kuwa hapo Kiingereza pekee anachokijua ni cha kusema ' Welcome Tanzania ' tu. Hovyo kabisa!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…