Mtangazaji wa Michezo Wasafi FM Maulid Kitenge, Kuzurura kote Ulaya na Marekani bado tu Kiingereza kinakutesa?

Sawa Maulid Kitenge a.k.a Welcome Tanzania.
 
Yaonekana zile safari zake za kwenda ughaibuni kila uchwao zinakutesa sana mtoa uzi, pambana nawe uende kama ni ndoto yako ama mfuate akujuze njia zake nawe uyaishi hayo.
Kwenda Ulaya na Marekani kuwa Chakula cha Watu ndiyo Ufahari? Usinilazimishe nifunguke zaidi kisha Mke mwingine nae akafungasha kama alivyofanya wa Kwanza ile Mitaa ya Slipway Masaki mkabala na Kijiwe cha Bakhressa.
 
Mwambieni ajifunze Kiingereza Wapuuzi nyie.
 
Ni mdhaifu ( mtopolo ) sana wa hiyo Lugha.
 
Kwenda Ulaya na Marekani kuwa Chakula cha Watu ndiyo Ufahari? Usinilazimishe nifunguke zaidi kisha Mke mwingine nae akafungasha kama alivyofanya wa Kwanza ile Mitaa ya Slipway Masaki mkabala na Kijiwe cha Bakhressa.
[emoji849][emoji849][emoji849] ongeza sauti kidogo.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Kwenda Ulaya na Marekani kuwa Chakula cha Watu ndiyo Ufahari? Usinilazimishe nifunguke zaidi kisha Mke mwingine nae akafungasha kama alivyofanya wa Kwanza ile Mitaa ya Slipway Masaki mkabala na Kijiwe cha Bakhressa.
Duuuuh! Kumbeeeeee!!! Jamaa ni biriani fulani hivi
 
Hata mimi nilishangaa sana. Mzungu anawapongeza kwa kuwa kipindi kizuri cha michezo, Maulid anashindwa hata kuitikia "thank you". Imenifikirisha sana
Hamna Mtu hapo Kazi ni Sifa tu Mitandaoni na Mikogo mingi isiyo hata na Tija wala Mantiki.

Angekuwa Mtangazaji mwenye Kujua vyema Lugha ya Kiingereza kwa ule Ugeni wa Mtu kama Mr. Alvaro angalau angemuhoji Maswali ya maana ya Kimpira na Maendeleo yetu Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Ila ikawa ni tofauti na Yeye ( Maulid Kitenge ) akawa anachekacheka tu huku akifanya Upuuzi wake. Nashangaa kuona kuna Wapuuzi baadhi hapa wanaona kafanya sasa.

Nafasi kama hii angeipata Mtangazaji wangu bora wa Vipindi vya Michezo Afrika Robert Marawa sasa yupo SABC ( akitokea Metro FM Radio ) ya huko huko Afrika Kusini angeitumia vyema kwa Kuhoji ya maana ili hata aje na Exclusive Story ila siyo Bumunda lenu hili la Wasafi FM na Boss wa Kipindi hicho cha Michezo hapo.
 
Mtoa post why ufike mbali kias hicho akienda nje anakuwa chakula ya watu? Hapana usifike huko
 
Sifa yangu Kuu ni Kufuatilia Jambo kwa Umakini, Kulisikia vyema na Kulichambua kwa marefu na mapana yake.

Yawezekana Somo la Philosophy na hasa lile la Critical Thinking ( Logical Reasoning ) limeniathiri mno kwani napenda zaidi kufanya Observation ya Jambo ( Tukio ) fulani kisha Kulichakata zaidi Kifikra. Yeye ( Maulid Kitenge ) hapa anaweza Kuona nimemsiliba ( nimemsema ) ila kwa wenye Akili watakubaliana nami kuwa nimemsaidia kuelekea katika Kubadilika Kwake ili azidi kuwa Mahiri mno Kitasnia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…