MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #61
Naomba nisaidiane na Maulid Kitenge Kuiandaa na Kuiweka hapa kwa Kiingereza kwani Mwenzangu Yeye anakijua vyema kuliko Mbayuwayu Mimi All - Rounder.Mleta mada tunaomba sredi hii uipost tena kwa Kiingereza
Nami nimefanya hivyo mkuu, nikajua tuu mwandishi ni Popoma ingawa simtetei Kitenge[emoji28]Nilivyosoma paragraph ya Yusuph Mkule nikarudi juu kuangalia I'd ya nani.
Bila Wadaawa wale TIOT ( hasa mwenye initials za MB ) Kuropoka tungejua?Mtoa post why ufike mbali kias hicho akienda nje anakuwa chakula ya watu? Hapana usifike huko
Sasa kubananga kizungu nayo ni sifa?Watu wana ma PhD na mavyeo makubwa tu hapa Tz lakini "wanabananga" kizungu, itakuwa huyo mtangazaji?
Ndio mkuu. Kubananga ni kuharibu...sio sifa nzuri. Na kwa kweli ni kwa lugha yoyote.Sasa kubananga kizungu nayo ni sifa?
Inaleta barrier ikiwa unaongea na watu ambao sio wa lugha hiyo yaani na wao mi wanajifunza.Kutokuiweka iyo to kunasababisha "Ambiguity" structural ambiguity ambayo inaweza inaleta Barrier kwenye communication.
Na mengine ya Ajabu kama Mwanaume.Huwa anaenda kupiga selfie tu.
anatangaza akitokea Minosota marekani sio washingtonAnachokijua Mtangazaji Maulid Kitenge ni kwenda huko Majuu ( Ulaya na Marekani ) huku akipiga Picha akiwa katika Mighahawa na Kujiegesha katika Gari za Kifahari hi huku kila akiunganishwa na Wenzake wa Mbezi Beach utamsikia ' naripoti nikiwa hapa Washington DC Marekani ' wakati pamoja na kuwa hapo Kiingereza pekee anachokijua ni cha kusema ' Welcome Tanzania ' tu. Hovyo kabisa!!!!!!!
Jamaa ni Mshamba ( Limbukeni ) zaidi.anatangaza akitokea Minosota marekani sio washington
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Genitalmicyne huyoWew upo hpo hpo wasafi FM unamsema tu boss wako kijanja wew ni edo
So what?
Jiwe mwenyewe akijitambulisha utapanda, "My your name is KIMPUMU"
Next time " MY YOUR NAME IS FWEFWE"!
Bongo zozo anajua kiswahili lakini huwezi kusema kuwa hakosei baadhi ya vitu akiongea.Sifa kubwa ya mwandishi wa habari ni kujua lugha mbalimbali at least 2 za kimataifa.
Mojawapo ya kazi zao ni kufanya mahojiano na watu tofauti, wa mataifa tofauti.
Kama kweli amefanya hivyo ni kanjanja najua utopolo watamtetea ila ukweli utabaki kama ulivyo
Kama anajua kiingereza angeongea na hao wageni moja kwa moja wote tunajua aina ya mahojiano anayofanya kitenge yeye huwa ni muongeaji zaidi na kuuliza maswali zaidi ila kwa mzungu alinywea kwa sababu lugha zinagongana usimteteeBongo zozo anajua kiswahili lakini huwezi kusema kuwa hakosei baadhi ya vitu akiongea.
Na kitenge pia anajua kiingereza japokuwaacanakosea.
Nyie watu mtu anapokosea juu ya lugha fulani mnasema hajui