Mtangazaji wa Michezo Wasafi FM Maulid Kitenge, Kuzurura kote Ulaya na Marekani bado tu Kiingereza kinakutesa?

huu mwandiko mbona kama wa Gentamycin
 
Konda msafi anasema alitamani kurudi bongo maana alichoka kuongea kiingereza kila siku.

Mimi huwa namchukia alieamua hili taifa tutumie kiswahili kama lugha ya taifa,huyo pimbi ndo aliharibu kila kitu ma.Mae zake,na endelee kupata mateso huko aliko.

Kutokujua kidhungu kumenifanya nkose mambo mengi sana.
 
Wanaojua kidhungu walijuaje, kujua lugha ni juhudi zako binafsi
 
Watu wana ma PhD na mavyeo makubwa tu hapa Tz lakini "wanabananga" kizungu, itakuwa huyo mtangazaji?
Ungana nae huyo Mtangazaji katika huo Ujuha ( Uhayawani ) wake tafadhali. Kwahiyo kama wenye Phd's na Vyeo hawajui Kiingereza ndiyo Kigezo au Tiketi ya Wewe pia kutokijua angalau hata kwa kiasi chake? Hivi inaweza Kuingia Akili Mtu kila Uchao unaenda huko ng'ambo ( Ulaya na Marekani ) halafu bado Lugha ya Kiingereza ikawa ni Kikwazo Kwako? Kuna Watu kwa hizi Hoja zenu nikiwa ninawadharau hapa JF msininunie.
 
Bongo zozo anajua kiswahili lakini huwezi kusema kuwa hakosei baadhi ya vitu akiongea.

Na kitenge pia anajua kiingereza japokuwaacanakosea.

Nyie watu mtu anapokosea juu ya lugha fulani mnasema hajui
Tulitegemea ile Mikogo yake anayoifanya hasa akiwa huko Ulaya na Marekani basi hata na Lugha yao pia anaweza Kuwa na Mikogo nayo vile vile katika Kuijua kumbe ni vice versa tu Ndugu.
 
Kama anajua kiingereza angeongea na hao wageni moja kwa moja wote tunajua aina ya mahojiano anayofanya kitenge yeye huwa ni muongeaji zaidi na kuuliza maswali zaidi ila kwa mzungu alinywea kwa sababu lugha zinagongana usimtetee
Huwa nawapenda sana na Kukutana pia na Watu ( JF Members ) Waelewa na wanaojua Kufikiri hadi Kujenga Hoja zao vizuri kama hivi Wewe Ndugu.
 
Nisome taratibu tu utanielewa. Soma pia post #66 kwa maelezo zaidi.

Naogopa sana (hapa nilipo natetemeka!) kudharauliwa na wewe hapa JF mkuu!
 
Tz waandishi wetu ingilishi inawaumiza sana, huwa najiuliza ukiacha kusoma kuna kujifunza kupitia media kama Ajazeera, BBC,Fox news etc......kama ni muangaliaji lazima ajifunze kitu.......ukitaka uone shida angalia azam tv mechi wanazorusha halafu awepo asiyejua kiswahili wakati wa intavyuuu
 
Ni Nyerere mzee. Mageuzi ya mwaka 1968. Kale kazee kachawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…