#COVID19 Mtangazaji wa NTV ya Kenya, Amina Abdi afiwa na bibi yake baada ya kupewa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Mtangazaji wa NTV ya Kenya, Amina Abdi afiwa na bibi yake baada ya kupewa chanjo ya COVID-19

uviko-19 bana ni very complex, yenyewe ndiyo inaamua kupungua au kuongezeka. Hakuna mtu anayeipangia. Chukulia mfano wa India miezi michache iliyopita. Walikuwa na kiwango kidogo sana cha maambukizi na vifo vya uviko. Lkn kwa sasa ni ya pili baada ya Brazil kwa maambukizi na vifo. Jana walirekodi maambukizi zaidi ya laki moja.
Nime toa tahadhali hapa kwamba tuwe makini na ulupukaji wa ghafla ya ugonjwa huu ambao ni variant mpya ya COVID-19 ndani ya siku moja watu laki nne wana ambukizwa ndani ya siku moja - WHY, na ukisikikiza kwa umakini kinacho zungumziwa ni chanjo, chanjo, chanjo - hii inakupa picha gani? Kuna watu/wanasayansi wanachezea Serikali za Dunia ya tatu akili - hii ni mbinu mpya za kampuni za kuzalisha chanjo kuleta taharuki kwa raia ili Serikaki zilazimike kununua chanjo za makampuni hayo watake wasitake kama njia ya kupiga hela ndefu.

Why 'am I saying this? India ndio taifa ambalo kibali cha kuzalisha chanjo zinazo zalishwa na Big Western Pharma Companies namely Oxford-AstraZeneca kwa ajili ya kuziuzia third World - sasa kampuni hizo kuona third World zinasuha suha kununua chanjo zao ndio wanatujia na variant ya covid ambayo ni highly contigous and deadly ili Serikali maskini zilazimike kununua chanjo hizo hata kama ni kwa hela za mkopo kutoka World Bank - hayo ndio mapendekezo ya WHO - msifikiri crisis hii imehibuka kwa bahati mbaya jamaa wanajipanga kupiga hela big time - kumbukeni kwamba makampuni ya madawa na chanjo yanayo fadhiliwa na William Gates wana mbinu nyingi ya kulazimisha mambo yao eakishirikiana kwa kificho na WHO, World Bank na some corrupt World leaders specifically third World leaders - mbinu hizo ndio zimeanzishwa hapo India kunako zalishwa chanjo za kutumika kwenye nchi maskini - angalieni taharuki ambayo imekuwa created ukiwasikiliza sana buzz word ni chanjo, chanjo, chanjo - WHY???!!!.
 
Kama UGONJWA HAUPO unataka nijue nini?
Umeona sasa uhuru wa kupeperusha vitu hewani, mpka kabisa na wewe ukaenda ku search kw amani data za wenywe ukaleta[emoji23][emoji23]
Huku ya kwako hujui yakoje kazi ni mwendo wa kupelekeshwa tu kimbweha
 
Sisi Huku tuna mjumbe WA nyumba 10?.
huo UGONJWA wa promo utawatesa Sana.
Magufuli alikuwa sahihi
Walau sisi bado tuna rais, angekua mkaidi angetusababishia msiba wa kitaifa.
 
Acha Sisi tusiogopa Corona tuishi.
Walau sisi bado tuna rais, angekua mkaidi angetusababishia msiba wa kitaifa.
Screenshot_20210429-111122.jpg
 
Sisi Huku tuna mjumbe WA nyumba 10?.
huo UGONJWA wa promo utawatesa Sana.
Magufuli alikuwa sahihi

Ugonjwa hauwezi kujua unakutesa kama haupimi, ni kama danga la hapo kwako Mpalange, Buza linaliwa bila kinga kila siku na halitaki kupima, limejiamisha vitu vya kijinga mara oooh ngoma haipo, oooh ngoma ni propaganda, oooh ngoma imebuniwa kuhujumu uchumi wa Tanzania.....

Mumekaa hovyoo na kuachiwa kama mifugo hamjui mko wapi au wapi....yaani nchi za kijamaa na umaskini huwa kama jehanamu la wajinga. Kiongozi aliyekua anawapa mizuka dhidi ya corona keshaondoshwa na kirusi amezikwa zake huko, tukadhani mtatia akili ila mumebaki kushangaa shangaa bado hamjui mnaelekea wapi.
Hili ni janga la kisayansi linapaswa kufuatiliwa kisayansi na waliokwenda shule kwenu huko, hiyo ni kama kweli mnavyo vyuo vyenye tija ya elimu.
 
Sasa huo UGONJWA gani ambao hauonekani mpaka mpime?.
BASI NA NYIE SI MUACHE KUPIMA KAMA SISI UGONJWA USIONEKANE.
Ugonjwa hauwezi kujua unakutesa kama haupimi, ni kama danga la hapo kwako Mpalange, Buza linaliwa bila kinga kila siku na halitaki kupima, limejiamisha vitu vya kijinga mara oooh ngoma haipo, oooh ngoma ni propaganda, oooh ngoma imebuniwa kuhujumu uchumi wa Tanzania.....

Mumekaa hovyoo na kuachiwa kama mifugo hamjui mko wapi au wapi....yaani nchi za kijamaa na umaskini huwa kama jehanamu la wajinga. Kiongozi aliyekua anawapa mizuka dhidi ya corona keshaondoshwa na kirusi amezikwa zake huko, tukadhani mtatia akili ila mumebaki kushangaa shangaa bado hamjui mnaelekea wapi.
Hili ni janga la kisayansi linapaswa kufuatiliwa kisayansi na waliokwenda shule kwenu huko, hiyo ni kama kweli mnavyo vyuo vyenye tija ya elimu.
 
Halafu hizi chanjo madhara yake ya muda mrefu bado hayafahamiki!!
Hata waliochanjwa bado wanaweza kuambukizwa ndio maana pamoja na kuchanjwa bado wanavaa barakoa!! Huu utumwa Tz wameukataa!! Tz is the real free country in the world!
Sababu ya kuvaa barakoa ni kwamba ina take time mpaka chanjo kuanza kufanya kazi, mfano umepata chanjo leo kesho ukapata corona posibility ya kupata madhara yatokanayo na corona bado ni kubwa
 
Nime toa tahadhali hapa kwamba tuwe makini na ulupukaji wa ghafla ya ugonjwa huu ambao ni variant mpya ya COVID-19 ndani ya siku moja watu laki nne wana ambukizwa ndani ya siku moja - WHY, na ukisikikiza kwa umakini kinacho zungumziwa ni chanjo, chanjo, chanjo - hii inakupa picha gani? Kuna watu/wanasayansi wanachezea Serikali za Dunia ya tatu akili - hii ni mbinu mpya za kampuni za kuzalisha chanjo kuleta taharuki kwa raia ili Serikaki zilazimike kununua chanjo za makampuni hayo watake wasitake kama njia ya kupiga hela ndefu.

Why 'am I saying this? India ndio taifa ambalo kibali cha kuzalisha chanjo zinazo zalishwa na Big Western Pharma Companies namely Oxford-AstraZeneca kwa ajili ya kuziuzia third World - sasa kampuni hizo kuona third World zinasuha suha kununua chanjo zao ndio wanatujia na variant ya covid ambayo ni highly contigous and deadly ili Serikali maskini zilazimike kununua chanjo hizo hata kama ni kwa hela za mkopo kutoka World Bank - hayo ndio mapendekezo ya WHO - msifikiri crisis hii imehibuka kwa bahati mbaya jamaa wanajipanga kupiga hela big time - kumbukeni kwamba makampuni ya madawa na chanjo yanayo fadhiliwa na William Gates wana mbinu nyingi ya kulazimisha mambo yao eakishirikiana kwa kificho na WHO, World Bank na some corrupt World leaders specifically third World leaders - mbinu hizo ndio zimeanzishwa hapo India kunako zalishwa chanjo za kutumika kwenye nchi maskini - angalieni taharuki ambayo imekuwa created ukiwasikiliza sana buzz word ni chanjo, chanjo, chanjo - WHY???!!!.

Na sasa hakuna hata mtu anayeweza kulisemea hili. Ile ilikuwa kuleta fikira tunduizi na udadisi. Nadhani sasa akina bill gates watakuwa wanavuna tu hata wasipopanda.
 
Sababu ya kuvaa barakoa ni kwamba ina take time mpaka chanjo kuanza kufanya kazi, mfano umepata chanjo leo kesho ukapata corona posibility ya kupata madhara yatokanayo na corona bado ni kubwa

Hapana, siyo sahihi.
Kuvaa barakoa na social distancing hakuangalii kama hujapata chanjo, umepata chanjo jana au umepata chanjo mwaka jana. Hivyo vitu ni vya kudumu.
That's where scepticism comes from.
 
Walau sisi bado tuna rais, angekua mkaidi angetusababishia msiba wa kitaifa.

Pale uwezo wa kufikiri unapokuwa tatizo.
Kwa hiyo asipokufa rais wenu, basi mko salama!!!? Brazil, India, marekani, Italy, Spain hajafiwa na marais au viongozi wao, hivyo wako salama.
What a "post hoc fallacy".
 
Pale uwezo wa kufikiri unapokuwa tatizo.
Kwa hiyo asipokufa rais wenu, basi mko salama!!!? Brazil, India, marekani, Italy, Spain hajafiwa na marais au viongozi wao, hivyo wako salama.
What a "post hoc fallacy".

Dayaspora wa Buza nimekawia sijakusoma humu, nilijua unafukiza, corona ni tatizo la kisayansi, ukikaidi linakulamba hata kama wewe rais, yaani mpaka sasa dunia tangu corona ije, dunia imepoteza marais wawili na kinaya cha kushangaza hao wawili ndio walikua wanakaidi na kusema sema mara corona imebuniwa ili iwakwamishe kiuchumi, mara imefutwa kwa maombi, ujuha wa ajabu.
 
Dayaspora wa Buza nimekawia sijakusoma humu, nilijua unafukiza, corona ni tatizo la kisayansi, ukikaidi linakulamba hata kama wewe rais, yaani mpaka sasa dunia tangu corona ije, dunia imepoteza marais wawili na kinaya cha kushangaza hao wawili ndio walikua wanakaidi na kusema sema mara corona imebuniwa ili iwakwamishe kiuchumi, mara imefutwa kwa maombi, ujuha wa ajabu.

Jibu swali, rais au kiongozi akiwa hai, basi nchi haiko hatarini kwa uviko-19.
 
Jibu swali, rais au kiongozi akiwa hai, basi nchi haiko hatarini kwa uviko-19.

Ungetujibu wewe maana kwenu huko uwepo au kutokuwepo kwa corona hutegemea tamko la rais....hehehe dayaspora wa Buza.
Lakini ujamaa ni ujuha wa kijinga hehehe
 
Back
Top Bottom