Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Nime toa tahadhali hapa kwamba tuwe makini na ulupukaji wa ghafla ya ugonjwa huu ambao ni variant mpya ya COVID-19 ndani ya siku moja watu laki nne wana ambukizwa ndani ya siku moja - WHY, na ukisikikiza kwa umakini kinacho zungumziwa ni chanjo, chanjo, chanjo - hii inakupa picha gani? Kuna watu/wanasayansi wanachezea Serikali za Dunia ya tatu akili - hii ni mbinu mpya za kampuni za kuzalisha chanjo kuleta taharuki kwa raia ili Serikaki zilazimike kununua chanjo za makampuni hayo watake wasitake kama njia ya kupiga hela ndefu.uviko-19 bana ni very complex, yenyewe ndiyo inaamua kupungua au kuongezeka. Hakuna mtu anayeipangia. Chukulia mfano wa India miezi michache iliyopita. Walikuwa na kiwango kidogo sana cha maambukizi na vifo vya uviko. Lkn kwa sasa ni ya pili baada ya Brazil kwa maambukizi na vifo. Jana walirekodi maambukizi zaidi ya laki moja.
Why 'am I saying this? India ndio taifa ambalo kibali cha kuzalisha chanjo zinazo zalishwa na Big Western Pharma Companies namely Oxford-AstraZeneca kwa ajili ya kuziuzia third World - sasa kampuni hizo kuona third World zinasuha suha kununua chanjo zao ndio wanatujia na variant ya covid ambayo ni highly contigous and deadly ili Serikali maskini zilazimike kununua chanjo hizo hata kama ni kwa hela za mkopo kutoka World Bank - hayo ndio mapendekezo ya WHO - msifikiri crisis hii imehibuka kwa bahati mbaya jamaa wanajipanga kupiga hela big time - kumbukeni kwamba makampuni ya madawa na chanjo yanayo fadhiliwa na William Gates wana mbinu nyingi ya kulazimisha mambo yao eakishirikiana kwa kificho na WHO, World Bank na some corrupt World leaders specifically third World leaders - mbinu hizo ndio zimeanzishwa hapo India kunako zalishwa chanjo za kutumika kwenye nchi maskini - angalieni taharuki ambayo imekuwa created ukiwasikiliza sana buzz word ni chanjo, chanjo, chanjo - WHY???!!!.