#COVID19 Mtangazaji wa NTV ya Kenya, Amina Abdi afiwa na bibi yake baada ya kupewa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Mtangazaji wa NTV ya Kenya, Amina Abdi afiwa na bibi yake baada ya kupewa chanjo ya COVID-19

Siasa za kifala za ccm unaleta huku wewe unajitambua kweli?
 
Wazee wa corona ya usiku...ndugu zetu wana utani sana hawa.
Asilimia kubwa ya Watu, na hapa namaanisha wewe pamoja na wenzako don't THINK hatua moja zaidi ya wanachokiskia mtaani.

Binadam mwenye timam lazima uhusishe akili japo kidogo kung'amua mambo.
Rationele ya hatua kama hii inatokana na tabia ya binadam (its a whole science) kwamba watu are less likely kunawa, kuvaa mask, na kuzingatia social distance mida ya usiku.
Sasa, other factors not withstanding hii definately ni a very reasonable approach atleast kwa baadhi yetu.

Nina uhakika hujawai kuipa analogy kama hiyo coz hiyo ni kazi ya ubongo ambayo kwa comment yako sioni kama una matumizi nayo saaana. Ila yote sawa tu
 
Asilimia kubwa ya Watu, na hapa namaanisha wewe pamoja na wenzako don't THINK hatua moja zaidi ya wanachokiskia mtaani.

Binadam mwenye timam lazima uhusishe akili japo kidogo kung'amua mambo.
Rationele ya hatua kama hii inatokana na tabia ya binadam (its a whole science) kwamba watu are less likely kunawa, kuvaa mask, na kuzingatia social distance mida ya usiku.
Sasa, other factors not withstanding hii definately ni a very reasonable approach atleast kwa baadhi yetu.

Nina uhakika hujawai kuipa analogy kama hiyo coz hiyo ni kazi ya ubongo ambayo kwa comment yako sioni kama una matumizi nayo saaana. Ila yote sawa tu
Unajua nini tatizo sio kutumia ubongo bali matumizi yetu ya ubongo hayawezi kuleta matokeo sawa, naheshimu matumizi ya ubongo wako sitochangia.
 
Unajua nini tatizo sio kutumia ubongo bali matumizi yetu ya ubongo hayawezi kuleta matokeo sawa, naheshimu matumizi ya ubongo wako sitochangia.
Jadili mada sio vijembe vya wanawake wa buza kama hio comment nilioquote mara ya kwanza coz hio comment ili-base zaidi hapa👇

Wazee wa corona ya usiku...ndugu zetu wana utani sana hawa.
Bahati yenu corona yenu inakuja usiku tu na si mchana.
Na kwa hawa wenzako
Mchana virus wanakuwa wamelala

Ishu ni watu kuelewa na kujibu kwa hoja zenye mashiko. Tuone fahari kujibu from insight not ignorance.
 
Back
Top Bottom