Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia kubwa ya Watu, na hapa namaanisha wewe pamoja na wenzako don't THINK hatua moja zaidi ya wanachokiskia mtaani.Wazee wa corona ya usiku...ndugu zetu wana utani sana hawa.
Unajua nini tatizo sio kutumia ubongo bali matumizi yetu ya ubongo hayawezi kuleta matokeo sawa, naheshimu matumizi ya ubongo wako sitochangia.Asilimia kubwa ya Watu, na hapa namaanisha wewe pamoja na wenzako don't THINK hatua moja zaidi ya wanachokiskia mtaani.
Binadam mwenye timam lazima uhusishe akili japo kidogo kung'amua mambo.
Rationele ya hatua kama hii inatokana na tabia ya binadam (its a whole science) kwamba watu are less likely kunawa, kuvaa mask, na kuzingatia social distance mida ya usiku.
Sasa, other factors not withstanding hii definately ni a very reasonable approach atleast kwa baadhi yetu.
Nina uhakika hujawai kuipa analogy kama hiyo coz hiyo ni kazi ya ubongo ambayo kwa comment yako sioni kama una matumizi nayo saaana. Ila yote sawa tu
Jadili mada sio vijembe vya wanawake wa buza kama hio comment nilioquote mara ya kwanza coz hio comment ili-base zaidi hapa👇Unajua nini tatizo sio kutumia ubongo bali matumizi yetu ya ubongo hayawezi kuleta matokeo sawa, naheshimu matumizi ya ubongo wako sitochangia.
Wazee wa corona ya usiku...ndugu zetu wana utani sana hawa.
Na kwa hawa wenzakoBahati yenu corona yenu inakuja usiku tu na si mchana.
Mchana virus wanakuwa wamelala