We ndio unajua leoYaani juzi tu kushinda Jana nikasema ana shingo nzuri uwii..tule tu maisha jaman..kujibana bana sio kbs
Kwa hiyo huyo marehemu ni sanamu?Mungu awape faraja familia yake.
ANGALIZO: Ibada ya kuombea marehemu ni "ibada ya sanamu"
Khee!! Kwani huyo mdudu bado yupo?
Endelea kujifukiza.Kaugua nn na uzur wote huo!
Matatizo ya Wuhan hayo!Jamani........π³......
Kulikoni tena ghafla hivi.......?......
RIP Agnes....