Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Watu wenye uelewa mkubwa hapa Tz
Yaani iq kubwaa
Hata ukiwaambia leo ni alhamisi watapinga tena kwahoja nzito nzito
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wenye uelewa mkubwa hapa Tz
Yaani iq kubwaa
Hata ukiwaambia leo ni alhamisi watapinga tena kwahoja nzito nzito
Kwani Corona sio ugonjwa.....usijione huko salama sana.Manyumbu yatakuja kusema ni corona
Hivi nyie mnastahili kweli kuwPo hapa kwenye jukwaa hili,
Pole sana.
Tokea nimeacha kuangalia hiyo super brand siwajui kabisa hao watangazaji.
Jamani........😳......
Kulikoni tena ghafla hivi.......?......
RIP Agnes....
Mkuu Samahani kama nitatoka tu nje ya 'Mada' hii, hivi mfano ukiwa Mwenge au Kawe au Tegeta Vituo vya Karibu kupata Dawa za ARV's ni wapi?
🤷🏻♀️.......najua vya Yaeda.....Tumatu na Karatu......
Huko mjini namna hiyo sivifahamu......
Shingo yake tu ilikua inanivutia.... RIP Agnes..true.. tena juzi jumanne alisoma taarifa ya habari ya saa mbili usiku.. rip Agnes
Cuf wanautu sana tofauti na Chadema
Shingo yake tu ilikua inanivutia.... RIP Agnes
Mbona kituo chao kinaendelea na program zao za kawaida kama vile hakuna kilichotokeaMtangazaji wa Radio One naITV Agnes Almas afariki dunia. Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali Pema Peponi [emoji1431]
#TANZIA:Tunasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu Agnes Almas
@ITVTANZANIA
. R.I.P AGNES ALMASY.
View attachment 1557557
UPDATE:
Mtangazaji wa ITV, Agnes Almas amefariki dunia ghafla mchana wa leo akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya kujisikia vibaya alipokuwa nyumbani kwake akijiandaa kwenda kazini.
Tulimfukuza na maombiKhee!! Kwani huyo mdudu bado yupo?
Rip Almasy!Mtangazaji wa Radio One naITV Agnes Almas afariki dunia. Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali Pema Peponi [emoji1431]
#TANZIA:Tunasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu Agnes Almas
@ITVTANZANIA
. R.I.P AGNES ALMASY.
View attachment 1557557
UPDATE:
Mtangazaji wa ITV, Agnes Almas amefariki dunia ghafla mchana wa leo akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya kujisikia vibaya alipokuwa nyumbani kwake akijiandaa kwenda kazini.