Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wee dogo mbishi kama jiweAcha 'Upumbavu' anaitwa Farhia Middle bisha tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee dogo mbishi kama jiweAcha 'Upumbavu' anaitwa Farhia Middle bisha tena.
Acha tabia ya kutukuza watu. Mtu anapenda kutukana wewe kazi kusahihisha kila muda. Unachangia kukuza ujinga na upuuzi.mkuu,punguza jazba boss,msamehe kama amezingua
Acha tabia ya kutukuza watu. Mtu anapenda kutukana wewe kazi kusahihisha kila muda. Unachangia kukuza ujinga na upuuzi.View attachment 1557666
Acha tabia ya kutukuza watu. Mtu anapenda kutukana wewe kazi kusahihisha kila muda. Unachangia kukuza ujinga na upuuzi.View attachment 1557666
@GENTAMYCINE ana ugonjwa wa kutukana ovyo kama JiweAcha tabia ya kutukuza watu. Mtu anapenda kutukana wewe kazi kusahihisha kila muda. Unachangia kukuza ujinga na upuuzi.View attachment 1557666
HhhahaahaahahhaNyumbu ni hawara ya bibi yako mzaa babu yako?
Hahahhahaa kula aisee..dah...Ila elfu kumi kuku mzima wapi huko bossUmeona friend ...kuna ka elfu kumi nilikua nakabania nifanye jambo fulani , nikasema "shit" nimeenda kuchoma kuku mzima
Kwani wewe Kenge unajua kilichomuua?Manyumbu yatakuja kusema ni corona
Ni mpumbavu kiwango cha lami anayeweza kusema Tanzania hakuna Corona.Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!
Mbona yenyewe hayafi kwa corona na yanajiachia?Manyumbu yatakuja kusema ni corona
Unathubutu kumtukana Rais wa nchi yetuNi mpumbavu kiwango cha lami anayeweza kusema Tanzania hakuna Corona.
Poa tuuu ilimradi hufanyiwi wewe. Hayakuhusu.Mungu awape faraja familia yake.
ANGALIZO: Ibada ya kuombea marehemu ni "ibada ya sanamu"
hivi hamjui matumizi sahihi ya hizi emoji??Rest in peace Agnes...[emoji16]
dah poleni sana wanafamilia na ITV.kwahiyo kipindi cha dakika45 na Lisu leo haitaonyeshwa watakuwa na maombolezo auMtangazaji wa Radio One naITV Agnes Almas afariki dunia. Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali Pema Peponi [emoji1431]
#TANZIA:Tunasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu Agnes Almas
@ITVTANZANIA
. R.I.P AGNES ALMASY.
View attachment 1557557
UPDATE:
Mtangazaji wa ITV, Agnes Almas amefariki dunia ghafla mchana wa leo akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya kujisikia vibaya alipokuwa nyumbani kwake akijiandaa kwenda kazini.
View attachment 1557675View attachment 1557676View attachment 1557677
Toto[emoji7][emoji7][emoji7]Hivi vifo vya watu ambao bado wana umri mdogo vinauma sana.
Pumzika kwa amani dada Agnes.