sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Ulikuwa wapi siku nyingi kweli sikuoni.
Ila kifo cha huyo dada kimeniuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa wapi siku nyingi kweli sikuoni.
majukumu tu Toto... sometimes nikipata muda kama hivi kwenye folen ndo nachungulia humu..Ulikuwa wapi siku nyingi kweli sikuoni.
Ila kifo cha huyo dada kimeniuma.
Hii corona mnayosema haina athari sana kwa waafrika?(bila kueleza kwanini) corona tumeiona China na ulaya huko.Ni mpumbavu kiwango cha lami anayeweza kusema Tanzania hakuna Corona.
Hahahhahaa kula aisee..dah...Ila elfu kumi kuku mzima wapi huko boss
Manyumbu yatakuja kusema ni corona
Una sifa flani ya upole ambao si sawa kwa mtu aliyepinda. Kuna mtu ukimrekebisha hawezi badilika hivo solution ni kumuacha.mkuu,sijapata muda wa kusoma mazungumzo yenu (sio lazima kufanya hivo) lakini nimeona ni vema kumuomba aliyetukana aache .kwako ni tatizo mimi kufanya hivo ?
Manyumbu yatakuja kusema ni corona
Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!
RIP.......CCM watapinga
Tukisema kama ni corona imemuondoa ni vibaya au ni maradhi mengine tuKuugua ghafla
Na anatukuzwa na wakuu. Utaona watu wanajishtukia na kujisemesha kwa unyenyekevu utadhani ana lolote. Mpuuze uone kama kichwa chake kitavimba tena.@GENTAMYCINE ana ugonjwa wa kutukana ovyo kama Jiwe
Mkuu Samahani kama nitatoka tu nje ya 'Mada' hii, hivi mfano ukiwa Mwenge au Kawe au Tegeta Vituo vya Karibu kupata Dawa za ARV's ni wapi?
Hivi Mkuu lile Sakata la 'Condoms' Kuadimika sana nchini Tanzania liliishia wapi? Ina maana Serikali inataka tupige sana 'Gitaa' la 'Dally Kimoko' au?
Sijawahi kbs aisee ....kuku wa kuchoma bar? Oh no! Hata huku maporini nusu ni 7500/-hujawahi kukutana na kuku wa buku ten ? hata Moshi wapo tena kuku mkubwa tu
Sijawahi kbs aisee ....kuku wa kuchoma bar? Oh no! Hata huku maporini nusu ni 7500/-