TANZIA Mtangazaji wa Radio One na ITV, Agnes Almasi afariki dunia

Wewe nyumbu,mbona unafahamika.
 

Aisee pole ndugu
 
RIP Agnes.
Juzi tu nilimuona akisoma taarifa ya habari. Nikakomenti kitu kizuri juu yake.
I hope sio ule ugonjwa ambao haupo Tanzania.
 
RIP Agnes. Je ana uhusiano na Fatuma Almas Nyangasa? Safari njema Agnes msalimie mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP Dr. Reginald Mengi. Wote mpuzike kwa amani, Ameeen!
 
RIP
AGNESS ALMASY

Toka waache kurusha matangazo kwenye baadhi ya vingamuzi wala taarifa za habari siangalii tena.
 
RIP Agnes. Je ana uhusiano na Fatuma Almas Nyangasa? Safari njema Agnes msalimie mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP Dr. Reginald Mengi. Wote mpuzike kwa amani, Ameeen!
Nani kakudanganya kuwa kule alikokwenda mpendwa wetu Agnes ataonana na Dr. Mengi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…