Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii radio ni perfume ya kuficha harufu itokanayo na uozo wa chama twawala.
Ndo matatizo ya watu kukurupuka pasipokujua kisa tu wana direct access kwenye media, mbaya zaidi unakuta analiongelea kiushabiki
Adam Mchomvu a.k.a Balozi, PJ, Kibonde, wanajikomba kwa Magamba.Tena kuna Mdogo wangu Arnold Kayanda nilimwacha Form 1 pale Bugene Secondary na Matokeo yake ya Form Four aliibuka na Division zero leo nae ni Mtangazaji hapo Clouds FM na kuna siku huwa anatangaza Matukio ya Wiki pamoja na George Njogopa. Hii Redio ni ya Wajinga, Walevi na Wanzinzi like Diva and others.
Necta hawawezi kuepuka hili kwani haya matokeo yanawalakini sababu hata wanafunzi ambao walikuwa na uwezo mzuri wamepigwa chini
Yes, mitihani ilikuwa inaibiwa, mwaka huu NECTA wamebana, ndio maana hakuna 1 ya 7 pointsNecta hawawezi kuepuka hili kwani haya matokeo yanawalakini sababu hata wanafunzi ambao walikuwa na uwezo mzuri wamepigwa chini
Nimemsikiliza asubuhi hii mtangazaji wa kipindi cha power breakfast Gerald Hando kwenye jicho la ng'ombe anataka katibu mkuu wa baraza la mitihani aueleze umma wa watanzania kwa nini wanafunzi wamefeli. Nikajiuliza hivi anajua kazi ya hili baraza si kuwaandaa wanafunzi kwa mujibu wa mitahala hili wafanye mitihani yao na kufaulu bali ni kutunga mitihani, kusahihisha, kutoa majibu na kutoa vyeti.
Sasa katibu mkuu atajuaje kama wanafunzi wameandaliwa vizuri kwa kuwa hii ni kazi ya taasisi nyingine yaani shule ndizo zenye wajibu wa kazi ya kuwandaa wanafunzi. Shule nazo zina mambo mengi walimu vifaa, miundombinu maslahi ya walimu, maabara nk. Sasa mwenye jukumu la kuhakikisha haya yote yanapatikana ni serikali ili mwanafunzi pate maandalizi mazuri afaulu mtihani uliondaliwa na NECTA.
Unakaa kwenye redio untaka mwenye jukumu la kutunga aeleze matatizo ya maandalizi ya wanafunzi kufanya mitihani. Nina wasiwasi na uwezo na uelewa na pia elimu ya huyu jamaa anaropoka bila kufikiri
Binadamu hatujakamilika asilimia mia, hata mie wakati fulani humkubali mno. Tumsamehe na wakati mwingine anatupiwa haya majamboz.Binafsi Gerald Hando huwa namkubali sana kama mtangazaji makini katika ile radio ukilinganisha na yule NANILIU mropokaji ropokaji...Ila kwa hili kateleza.....
Ni kweli mkuu tatizo la kulaumu katika kila jambo ni hulka ya watanzania wengi...kosa moja hufuta mazuri 99Binadamu hatujakamilika asilimia mia, hata mie wakati fulani humkubali mno. Tumsamehe na wakati mwingine anatupiwa haya majamboz.
Necta hawawezi kuepuka hili kwani haya matokeo yanawalakini sababu hata wanafunzi ambao walikuwa na uwezo mzuri wamepigwa chini
Wao na bosi wao ndio wanahamasisha watoto kwenda kujirusha, mara ooh after school bash mara sijui fiester na makolokolo kibao