pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Aise mimi namjua sana ni rafiki yangu nilimaliza nae kibosho girls mwaka 2004 baadae akaenda kusomea mambo ya uandishi wa habari akawa anafanya mwananchi communication baada ya muda alienda sweden kujiendeleza kimasomo na akaolewa huko na juzi xmas tulikuwa nae dsm kwan alikuja likizo hii habari imenisikitisha sana kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza
yesu mashirima, nkiki mcho????/
umekosa kazi halali?? Mkuu Rombo dada yako anatuaibisha.
itakuwa clouds
Nami nime mgoogle hayo ni matokeo ya kidato cha sita mnaomfahamu tupieni picha zake tumthaminishe
[TABLE="width: 750"]
[TR]
[TD]0589
[/TD]
[TD]F
[/TD]
[TD]SARAPHIA P SHIRIMA
[/TD]
[TD]18
[/TD]
[TD]IV
[/TD]
[TD]GENERAL-S HISTORY-S KISWAHI-S ENGLISH-S
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Najaribu kumsaka kwa google lakini simpati lakini inaonesha amemaliza sekondari 2004 Kibosho girl na kupta daraja la tatu
0086
F
SARAPHIA P SHIRIMA
25
III
CIV-D HIS-D GEO-F BIB-C KIS-C ENG-C LIT-D BIO-D BAS-F
chanzo
http://www.tanzania.go.tz/matokeo2004/Olev2004/S0205.htm
anafanya kazi na chombo gani cha habari?
Aise mimi namjua sana ni rafiki yangu nilimaliza nae kibosho girls mwaka 2004 baadae akaenda kusomea mambo ya uandishi wa habari akawa anafanya mwananchi communication baada ya muda alienda sweden kujiendeleza kimasomo na akaolewa huko na juzi xmas tulikuwa nae dsm kwan alikuja likizo hii habari imenisikitisha sana kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Raia wa Tanzania ambae ni mtangazaji wa radio nchini hapa Tanzania aitwae Peter Shirima amenaswa na makachero wa uwanja wa ndege wa jijini Nairobi nchini Kenya akiwa na madawa ya kulevya kiasi cha kilo 5.4 aina ya heroin yenye thamani ya fedha za Kenya shiilingi milioni 13.
za mwizi 40
Aise mimi namjua sana ni rafiki yangu nilimaliza nae kibosho girls mwaka 2004 baadae akaenda kusomea mambo ya uandishi wa habari akawa anafanya mwananchi communication baada ya muda alienda sweden kujiendeleza kimasomo na akaolewa huko na juzi xmas tulikuwa nae dsm kwan alikuja likizo hii habari imenisikitisha sana kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Sio mbaya alikuwa anajaribu maisha.Hakuwa anasafirisha kodi zetu kwenda kuzificha huko.Kwa umri wake mzigo utakuwa sio wake anatumiwa.
za mwizi 40