Mtangazaji wa redio kutoka Tanzania amekamatwa na dawa za kulevya Kenya!

Mtangazaji wa redio kutoka Tanzania amekamatwa na dawa za kulevya Kenya!

Aise mimi namjua sana ni rafiki yangu nilimaliza nae kibosho girls mwaka 2004 baadae akaenda kusomea mambo ya uandishi wa habari akawa anafanya mwananchi communication baada ya muda alienda sweden kujiendeleza kimasomo na akaolewa huko na juzi xmas tulikuwa nae dsm kwan alikuja likizo hii habari imenisikitisha sana kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza
 
Sio mbaya alikuwa anajaribu maisha.Hakuwa anasafirisha kodi zetu kwenda kuzificha huko.Kwa umri wake mzigo utakuwa sio wake anatumiwa.
 
Aise mimi namjua sana ni rafiki yangu nilimaliza nae kibosho girls mwaka 2004 baadae akaenda kusomea mambo ya uandishi wa habari akawa anafanya mwananchi communication baada ya muda alienda sweden kujiendeleza kimasomo na akaolewa huko na juzi xmas tulikuwa nae dsm kwan alikuja likizo hii habari imenisikitisha sana kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza

Kwahiyo sio mtangazaji kama wanavyodai
 
yesu mashirima, nkiki mcho????/
umekosa kazi halali?? Mkuu Rombo dada yako anatuaibisha.

shule alishindwa, biashara alishindwa,kuolewa anapiga mumewe, kuuza mbunye hawezi kwani analala tu, akafundishwa KAZI akashindwa, sasa apelekwe wapi? Ni kwenye unga tu.
 
Jaman alikua homegirl wng kabisa,,kweli nimeamini umdhaniaye kumbe siyo
 
Nami nime mgoogle hayo ni matokeo ya kidato cha sita mnaomfahamu tupieni picha zake tumthaminishe
[TABLE="width: 750"]
[TR]
[TD]0589
[/TD]
[TD]F
[/TD]
[TD]SARAPHIA P SHIRIMA
[/TD]
[TD]18
[/TD]
[TD]IV
[/TD]
[TD]GENERAL-S HISTORY-S KISWAHI-S ENGLISH-S
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Duh kweli Dunia kigetto na si kijiji tena. Dah hapo nimewakubali makamanda.
 
Ni kitu cha kushangaza sana huyu mtangazaji amepitia wapi? hadi kuingia nchi jirani inamaanisha hatuna ulinzi wa kweli au ni mizengwe tu inafanyika!!
 
Najaribu kumsaka kwa google lakini simpati lakini inaonesha amemaliza sekondari 2004 Kibosho girl na kupta daraja la tatu

0086
F
SARAPHIA P SHIRIMA
25
III
CIV-D HIS-D GEO-F BIB-C KIS-C ENG-C LIT-D BIO-D BAS-F

chanzo
http://www.tanzania.go.tz/matokeo2004/Olev2004/S0205.htm

Jamani angalieni mambo ya mistaken identity, i
Angalieni isije ikawa sio mwenyewe mtu wa watu wakapata shida. Mambo ya Sandy hook shooting mistaken identity. Jina la kaka likawa IDed kama ndo the killer kumbe mdogo mtu.

Jus be careful with personal info za mtu
 
Mmmmmmh,mtangazaji wa radio gani...au online radios maybe!

Sent from my BlackBerry deesaba using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Could she be the one using AngaliaBongoTZ on twitter?

Sent from my BlackBerry deesaba using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Aise mimi namjua sana ni rafiki yangu nilimaliza nae kibosho girls mwaka 2004 baadae akaenda kusomea mambo ya uandishi wa habari akawa anafanya mwananchi communication baada ya muda alienda sweden kujiendeleza kimasomo na akaolewa huko na juzi xmas tulikuwa nae dsm kwan alikuja likizo hii habari imenisikitisha sana kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza

Hujakosea ki2 maelezo yako ni 100% baada ya hapo alienda kufanya kazi kituo kimoja cha redio ambacho kinapendwa sna bt hakuwa mtangazaji km wanavyosema,,,hii ishu hta siamin sna tuache vyombo vya dola bt hii habari nimekuwa so sad
 
Raia wa Tanzania ambae ni mtangazaji wa radio nchini hapa Tanzania aitwae Peter Shirima amenaswa na makachero wa uwanja wa ndege wa jijini Nairobi nchini Kenya akiwa na madawa ya kulevya kiasi cha kilo 5.4 aina ya heroin yenye thamani ya fedha za Kenya shiilingi milioni 13.


Mkuu Heroin kilo 5.4 ni milioni 13???
Nakuheshimu mkuu.
 
Aise mimi namjua sana ni rafiki yangu nilimaliza nae kibosho girls mwaka 2004 baadae akaenda kusomea mambo ya uandishi wa habari akawa anafanya mwananchi communication baada ya muda alienda sweden kujiendeleza kimasomo na akaolewa huko na juzi xmas tulikuwa nae dsm kwan alikuja likizo hii habari imenisikitisha sana kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza


Ndege wafananao huruka pamoja...
kama yeye ni Gagulo basi wewe ni Sidiria zote nguo za ndani.
 
Sio mbaya alikuwa anajaribu maisha.Hakuwa anasafirisha kodi zetu kwenda kuzificha huko.Kwa umri wake mzigo utakuwa sio wake anatumiwa.


Hakika wewe ni mpambanaji...
This is usefull post katika hii thread...
 
Back
Top Bottom