Siwezi kuwataka radhi hawa MULES; Putin, Chomba na huyo dada yao!!
OK...
Tupe muendelezo wa tukio la Sarafia Peter Shirima.
coz hao wakenya wamekutangazia wamemkamata mjanja wako, je wamempandisha kizimbani?
Ukinijia na jibu la swali hilo ntafuta point zangu zooote nilizoziandika kwenye thread hii.
Na ndio maana nikamwambia anijie na data za mwendelezo wa kesi.
Je Sara kapandishwa mahakamani?
Matokeo yake kaenda jipara awahi kitchen party...
Gazeti la mwananchi wanajidai eti jina linahifadhiwa wakati wenzao kenya wanamtaja jina.
Wewe mbona hujamtaja?
Utasema kumtetea hadi upumulie matundu yote 3 uliyopewa na Mungu;lkn huyu dada ni mwizi na hafai kwenye jamii!Kuuza madawa ya kulevya kwa watoto wetu ni zaidi ya ugaidi!Huyu anatapeli hata vi laptops tu!Jizi kubwa hili!
Kaiba kiilchomfanya akamatwe!! Na wewe 40 zako ziko karibu Putin.
Kwa vile Kenya wameenda hadi kwenye vyombo vya habari kuripoti ukamatwaji na madawa wa huyu jizi;KAMA INAKUUMA SANA NA WW ITA WAANDISHI WA HABARI KUKANUSHA HABARI HII!Otherwise unless itabaki kama ilivyo kama hili dada limekamatwa!Kama kafikishwa mahakamani au laa mm hainihusu!
Jizi kubwa hilo!
Wewe na hao Wakenya wote wakurupukaji tuu Mnadandia hbr bila uchunguzi...... Nenda jukwaa lako la mapishi huko,Huku hakuna watu wazembe wazembe Humjui mtu unamrukia,Maumba alikuwa hawaachi watu km nyinyi.
Wewe na hao Wakenya wote wakurupukaji tuu Mnadandia hbr bila uchunguzi...... Nenda jukwaa lako la mapishi huko,Huku hakuna watu wazembe wazembe Humjui mtu unamrukia,Maumba alikuwa hawaachi watu km nyinyi.
Ivi we Ulimpa Sara laptop ngapi mbona Unatusumbua hapa?
Si umesema yupo uraiani why sasa usimuulize mwenyewe swali hilo?
Umeulizwa wewe uliekuja kujikombakomba hapa...
Wewe dada ambaye unamtetea dada mwenzio ndiyo uwe wa kwanza kumuuliza shoga yako!Si vyema kuingilia ushoga wenu bana!Muulize atakujibu tu!
Wewe na hao Wakenya wote wakurupukaji tuu Mnadandia hbr bila uchunguzi...... Nenda jukwaa lako la mapishi huko,Huku hakuna watu wazembe wazembe Humjui mtu unamrukia,Maumba alikuwa hawaachi watu km nyinyi.