Mtangazaji wa redio kutoka Tanzania amekamatwa na dawa za kulevya Kenya!

Siwezi kuwataka radhi hawa MULES; Putin, Chomba na huyo dada yao!!

Ndinani!

Huyu dada ni jizi!Lilini tapeli mm ingawaje hawa mandondo wanataka kutuonyesha kuwa ukikutana na mtu kwenye networks basi ni halali kukuibia!

Nilipofuatilia nikajua ameiba kwa sababu ya maisha magumu yanayomkabili;Kwao ni Sinza kumechoka na wanauza ubuyu na maji kujiongezea kipato!
 
OK...
Tupe muendelezo wa tukio la Sarafia Peter Shirima.
coz hao wakenya wamekutangazia wamemkamata mjanja wako, je wamempandisha kizimbani?
Ukinijia na jibu la swali hilo ntafuta point zangu zooote nilizoziandika kwenye thread hii.

Hauna point hata moja uliyoiandika kwenye mada hii zaidi ya kuona mapovu yanakutoka mdomoni kwa kumtetea mwizi!
 
Na ndio maana nikamwambia anijie na data za mwendelezo wa kesi.
Je Sara kapandishwa mahakamani?
Matokeo yake kaenda jipara awahi kitchen party...

Utasema ww lolte utakalo;utatumia kusema hadi tundu la chini lkn ukweli unabaki palepale Sarah Shirima ni mwizi mkubwa na alikuwa anaishi mjini kiujanja ujanja tu bila kazi yyt ya maana!

Saafi sana Kenya!Haya maneno kama jizi hili lipo uraiani unayajua ww na Sarah wako tu!
 
Gazeti la mwananchi wanajidai eti jina linahifadhiwa wakati wenzao kenya wanamtaja jina.
 
Shirima! jina linaonesha ni wakulekule.
 
Utasema kumtetea hadi upumulie matundu yote 3 uliyopewa na Mungu;lkn huyu dada ni mwizi na hafai kwenye jamii!Kuuza madawa ya kulevya kwa watoto wetu ni zaidi ya ugaidi!Huyu anatapeli hata vi laptops tu!Jizi kubwa hili!

Ivi we Ulimpa Sara laptop ngapi mbona Unatusumbua hapa?
 
Kaiba kiilchomfanya akamatwe!! Na wewe 40 zako ziko karibu Putin.

Pandisha gagulo lako hilo,hujui hata unachoongea mara kaiba mara kakamatwa na Madawa...... Kwaiyo hayo madawa yalikuwa yako kakuibia?
 

Wewe na hao Wakenya wote wakurupukaji tuu Mnadandia hbr bila uchunguzi...... Nenda jukwaa lako la mapishi huko,Huku hakuna watu wazembe wazembe Humjui mtu unamrukia,Maumba alikuwa hawaachi watu km nyinyi.
 
Wewe na hao Wakenya wote wakurupukaji tuu Mnadandia hbr bila uchunguzi...... Nenda jukwaa lako la mapishi huko,Huku hakuna watu wazembe wazembe Humjui mtu unamrukia,Maumba alikuwa hawaachi watu km nyinyi.


Hah hah haaaah mpe huyo...
 
Wewe na hao Wakenya wote wakurupukaji tuu Mnadandia hbr bila uchunguzi...... Nenda jukwaa lako la mapishi huko,Huku hakuna watu wazembe wazembe Humjui mtu unamrukia,Maumba alikuwa hawaachi watu km nyinyi.

Kumtetea mtoto wa kike hivi hadi midomo inawakauka MNGEKUWA MITAA YETU SIKU NYINGIII WATU WANGEJIPENDELEA NYIE VIJANA!

MNGEKUWA MNAMTETEA MKIWA WATUPU MBELE YA MIJIBABA hahahaha !
 
Umeulizwa wewe uliekuja kujikombakomba hapa...

Wewe dada ambaye unamtetea dada mwenzio ndiyo uwe wa kwanza kumuuliza shoga yako!Si vyema kuingilia ushoga wenu bana!Muulize atakujibu tu!
 
Wewe dada ambaye unamtetea dada mwenzio ndiyo uwe wa kwanza kumuuliza shoga yako!Si vyema kuingilia ushoga wenu bana!Muulize atakujibu tu!


Wewe uliefanya nae biashara ndio shost wako...
Sasa turudi kwenye swali, je ukiambiwa uje na risiti ya hizo Laptop na hiyo simu je utaweza kutuletea?
 
Wewe na hao Wakenya wote wakurupukaji tuu Mnadandia hbr bila uchunguzi...... Nenda jukwaa lako la mapishi huko,Huku hakuna watu wazembe wazembe Humjui mtu unamrukia,Maumba alikuwa hawaachi watu km nyinyi.

Lugha yako ya mtaani inaonesha kuwa na wewe ni mbebaji wa hayo madawa; yaani wewe pia ni PUNDA[MULE]!! Piga ua mradi mzigo ufike!!!
 
utajiri wa haraka haraka huu utatupeleka kubaya...sasa ona kifungo ndicho kinamsubiria tu............
 
Wabongo kwa uhuni ndoo zao, na kupenda utajri wa haraka haraka. Akome, alidhani ni mjanja ?
 
binafsi niliomba kujuwa je wale wakenya wanaojinadi kumkamata huyu Dada je wameshampandisha Mahakamani?

Manake kwa ishu aliotuhumiwa ni wazi kuwa anatakiwa awe ashapandishwa mahakamani kitaaambo...

OK kama kuna anayejuwa hilo anijuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…