Mtangazaji wa Wasafi media azawadiwa gari na uongozi wake

Mtangazaji wa Wasafi media azawadiwa gari na uongozi wake

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mtangazaji wa Wasafi media aaliyah Mohamed azawadiwa gari na uongozi wake kwa kuonesha ufanisi mkubwa wa kazi.Ikumbukwe kuwa aaliyah ndiye mtangazaji wa kwanza kuajiliwa na Wasafi media na kabla ya hapo alikuwa anafanya kazi pale palipokuwa Ni office ya WCB label sinza .Baada ya kuonwa vizuri na boss wake Diamond kuwa na uwezo wa utangazaji pia na elimu ya utangazaji akaamua kumuamishia Wasafi media baada ya kufungua media.
EaF4C9NWAAAM65i.jpg
 
Huyu ndio alikuwa na yule demu mwingine na Jonijoo kwenye kipindi kimoja!? Kama ndiye, yule mwingine bado yupo hapo kituoni?
 
Huyu ndio alikuwa na yule demu mwingine na Jonijoo kwenye kipindi kimoja!? Kama ndiye, yule mwingine bado yupo hapo kituoni?
Ndio yeye huyo mwingine yupo na nilimuona kwenye hiyo video ya aaliyah alipozawadiwa gari lakini sijui amepangiwa jukumu gani maana hatumuoni in front of camera.
 
  1. Kiki
  2. Promo
  3. Kutafuta public sympathy
Duarte Apewe Kiki au promo au public sympathy kwa sababu zipi?Wakati huyo dada Ni Kama legend au icon ya media yao so lazima apewe heshima katoka mbali na Wasafi media kuliko wafanyakazi wote wa Wasafi Kama tu video photographer wa diamond kapewa gari itashindikana kwa huyo?kupewa kwake gari Ni Kama motivation ya kazi kwa uchapakazi wake mzuri lakini pia itasaidia hata wafanyakazi wengine waongeze juhudi.
 
Ila cally psoo wamrudishe tume mmiss sana
Hata me nimemmisi hasa Yale matiti yake yananivutiaga aisee nazani wamempa majukumu nje ya in front ya camera maana namuonaga Sana kwenye events za Wasafi media
 
Back
Top Bottom